Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Hello
Leo nilitembelewa na mshikaji wangu alikuwa amefunga suni akasema leo nimefunga nakuja uko kukupa hi bas nikajiongeza nimuamdalie futari
Nikaanza kupika tambi napenda za rangi mbili so nikaanza kwanza kuziunguza kwanza kama hivi
Baada ya hpo nikazigeuza kuona kama zimekaa vizuri
Baada ya hpo nikaweka maji kama wewe una tui la nazi ile ya kukuna unaweza tumia iyo badala ya maji nikaweka na sukari na chumvi kama una irick unaweza weka mm sikuwa nay
Baada ya hapo nianza kukaanga samaki zangu hapa uku nasubiri maji yakauke niweke nazi
Baada ya hapo nikatoa samaki
Nikaanza kupika lost
Niliwwka kitunguu
Baada ya hapo nikaweka samaki hoho na karot
Baada ya kuchanganyika vizur nukaweka nyanya
Nikaweka na nazi nika pika na catress nishawai kuleta hapa jinsi ya kuzipika
Leo nilitembelewa na mshikaji wangu alikuwa amefunga suni akasema leo nimefunga nakuja uko kukupa hi bas nikajiongeza nimuamdalie futari
Nikaanza kupika tambi napenda za rangi mbili so nikaanza kwanza kuziunguza kwanza kama hivi
Baada ya hpo nikazigeuza kuona kama zimekaa vizuri
Baada ya hpo nikaweka maji kama wewe una tui la nazi ile ya kukuna unaweza tumia iyo badala ya maji nikaweka na sukari na chumvi kama una irick unaweza weka mm sikuwa nay
Baada ya hapo nianza kukaanga samaki zangu hapa uku nasubiri maji yakauke niweke nazi
Baada ya hapo nikatoa samaki
Nikaanza kupika lost
Niliwwka kitunguu
Baada ya hapo nikaweka samaki hoho na karot
Baada ya kuchanganyika vizur nukaweka nyanya
Nikaweka na nazi nika pika na catress nishawai kuleta hapa jinsi ya kuzipika
Attachments
-
1740845361023.jpeg407.5 KB · Views: 1 -
1740848482985.jpeg476.6 KB · Views: 1 -
1740848326081.jpeg476.6 KB · Views: 2 -
1740848240067.jpeg476.6 KB · Views: 1 -
1740846202441.jpeg349.8 KB · Views: 1 -
1740845860369.jpeg484.1 KB · Views: 3 -
1740845669687.jpeg413.1 KB · Views: 1 -
1740845414299.jpeg407.5 KB · Views: 1