Tambi na lost ya samaki

Tambi na lost ya samaki

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Hello
Leo nilitembelewa na mshikaji wangu alikuwa amefunga suni akasema leo nimefunga nakuja uko kukupa hi bas nikajiongeza nimuamdalie futari

Nikaanza kupika tambi napenda za rangi mbili so nikaanza kwanza kuziunguza kwanza kama hivi
1740845498916.jpeg

Baada ya hpo nikazigeuza kuona kama zimekaa vizuri
1740845567120.jpeg

Baada ya hpo nikaweka maji kama wewe una tui la nazi ile ya kukuna unaweza tumia iyo badala ya maji nikaweka na sukari na chumvi kama una irick unaweza weka mm sikuwa nay
1740845797151.jpeg

Baada ya hapo nianza kukaanga samaki zangu hapa uku nasubiri maji yakauke niweke nazi
1740847641879.jpeg

Baada ya hapo nikatoa samaki

Nikaanza kupika lost
Niliwwka kitunguu
1741004054349.jpeg

Baada ya hapo nikaweka samaki hoho na karot
1741004125656.jpeg

Baada ya kuchanganyika vizur nukaweka nyanya
1741004164255.jpeg

Nikaweka na nazi nika pika na catress nishawai kuleta hapa jinsi ya kuzipika
1741004250608.jpeg
 

Attachments

  • 1740845361023.jpeg
    1740845361023.jpeg
    407.5 KB · Views: 1
  • 1740848482985.jpeg
    1740848482985.jpeg
    476.6 KB · Views: 1
  • 1740848326081.jpeg
    1740848326081.jpeg
    476.6 KB · Views: 2
  • 1740848240067.jpeg
    1740848240067.jpeg
    476.6 KB · Views: 1
  • 1740846202441.jpeg
    1740846202441.jpeg
    349.8 KB · Views: 1
  • 1740845860369.jpeg
    1740845860369.jpeg
    484.1 KB · Views: 3
  • 1740845669687.jpeg
    1740845669687.jpeg
    413.1 KB · Views: 1
  • 1740845414299.jpeg
    1740845414299.jpeg
    407.5 KB · Views: 1
Back
Top Bottom