Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Eeeehh.......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimenuka!Eeeehh.......
Hivi umegungua jambo hili kuwa, tokea Lissu apeleke lile gari lililoshambuliwa kwa marisasi kwa wale wazee kwao hujamsikia tukio lile alirudierudie kujieleza tena?Kama kuna anayemfahamu yeyote aliyehusika mwambieni muda unaisha, ajitokeze apige goti na kukiri kwa ulimi wake haraka
Hatari!Hivi umegungua jambo hili kuwa, tokea Lissu apeleke lile gari lililoshambuliwa kwa marisasi kwa wale wazee kwao hujamsikia tukio lile alirudierudie kujieleza tena?
Kanyamazishwa na wazee kuwa sie wazee wako tumeona mwenetu uliyopitia na kulala kwa maumivu miezi kadhaa kitandani. Pia umetuonyesha mwili wako ulivyoharibiwa kwa risasi na upasuaji basi usilie tena TUACHIE TUMLILIE MUNGU.
Nakuambia wataisha, tena kwa maumivu makali sana vitandani kama hawatajitaja na kutubu
Mkwara 🐼
Kuna yule shehe wa mkoa aliwatishaga akina Mwaka na bint Kimambi lakini wanadunda tu 😂😂