Inaitwa total full packageJamaa kwenye issue zote chafu wapo vizuri sn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaitwa total full packageJamaa kwenye issue zote chafu wapo vizuri sn
We jitekenye tu..unalinganisha Wazee wa Kinyqturu na Tapeli! Subiri utaona ,isitoshe Zaburi 35 tu ilishawaondoa Wawili! Wengine wanafuata! ..Watesi wa Tundu Lisu wataangamia!Mkwara 🐼
Kuna yule shehe wa mkoa aliwatishaga akina Mwaka na bint Kimambi lakini wanadunda tu 😂😂
Tofsutisha ya Kimambi hapa tunazungumzia Damu kumwagikaMkwara 🐼
Kuna yule shehe wa mkoa aliwatishaga akina Mwaka na bint Kimambi lakini wanadunda tu 😂😂
Soon mpukutiko unaanzaWe jitekenye tu..unalinganisha Wazee wa Kinyqturu na Tapeli! Subiri utaona ,isitoshe Zaburi 35 tu ilishawaondoa Wawili! Wengine wanafuata! ..Watesi wa Tundu Lisu wataangamia!
Hao huwa ni viburi acha wafe kwanzaNi kweli kabisa tambiko litaanza kuwapukutisha 👁😱
Lakini wakijitokeza na kuomba msamaha huenda wakasamehewa 👁😱
Ni majangili haswa wamejificha CCMInaitwa total full package
Huoni anavyo hangaika kiroho?Makondq si ni mkuu wa arusha?
Na kitaumana kweli mila bado zipo ndugu zangu
Dah kweli nao sio wanyonge ni kwamba ataetoa sadaka nzuri ndio atakua mshindiPro jay anakwambia uchawi hauendi kwa mentali
Lakin pia kwa akili na imani zako umazan walofanya tukio ni watu wadogo kuyumbishwa na uchawi
Mimi naunga mkono na nitalifungia siku kadri Mungu wangu atakavyo amua acha wafe tu ,unyama gani huu wamtendea binadamu mwezako , watakufa kama kumbikumbi asema bwanaNi kweli kabisa tambiko litaanza kuwapukutisha 👁😱
Lakini wakijitokeza na kuomba msamaha huenda wakasamehewa 👁😱
Sasa wakali wa njozi wameanza kufikiria DUA za wazee wa Kinyaturu baada ya kuona matundu risasi kwenye gari la jaribio la mauaji yale na maumivu aliyopata mtoto wao zinaanza kushinda nguvu za ulinzi wa maombi ya Kadnali, Mwamposa na shehe. Usikute sio poison bali ni maluelue ya tambiko! Time will tell
CDMkwara 🐼
Kuna yule shehe wa mkoa aliwatishaga akina Mwaka na bint Kimambi lakini wanadunda tu 😂😂
Hayajakupitia unawaabudu wazunguMambo ya matambiko ni uboya na utumwa wa kifala sana.