Tambiko la Wanyaturu kwa gari la Lissu, wahusika bora wajitokeze

Tambiko la Wanyaturu kwa gari la Lissu, wahusika bora wajitokeze

Makondq si ni mkuu wa arusha?
Huoni anavyo hangaika kiroho?
Mara leo amuite Kadnali Pengo ofisini kumuombea kesho Mwamposa, sijui shehe nani naye aje unadhani ni kwa furaha au hilo ni hangaiko la kiroho?
Mkuu, kama alihusika atapata taabu sana maana amani ndani mwale itakosekana kabisa.
Na hatujui anapoombewa huwa anatubu nini huko wakiwa wenyewe.
 
Ni kweli kabisa tambiko litaanza kuwapukutisha 👁😱

Lakini wakijitokeza na kuomba msamaha huenda wakasamehewa 👁😱
Mimi naunga mkono na nitalifungia siku kadri Mungu wangu atakavyo amua acha wafe tu ,unyama gani huu wamtendea binadamu mwezako , watakufa kama kumbikumbi asema bwana
 
Sasa wakali wa njozi wameanza kufikiria DUA za wazee wa Kinyaturu baada ya kuona matundu ya risasi kwenye jaribio la mauaji yale na maumivu aliyopata mtoto wao zinaanza kushinda nguvu za ulinzi wa maombi ya Kadnali, Mwamposa na shehe. Usikute sio poison bali ni maluelue ya tambiko! Time will tell
 
Sasa wakali wa njozi wameanza kufikiria DUA za wazee wa Kinyaturu baada ya kuona matundu risasi kwenye gari la jaribio la mauaji yale na maumivu aliyopata mtoto wao zinaanza kushinda nguvu za ulinzi wa maombi ya Kadnali, Mwamposa na shehe. Usikute sio poison bali ni maluelue ya tambiko! Time will tell
 
Kama kuna anayemfahamu yeyote aliyehusika mwambieni muda unaisha, ajitokeze apige goti na kukiri kwa ulimi wake haraka
 
Back
Top Bottom