Tambiko la Wanyaturu kwa gari la Lissu, wahusika bora wajitokeze

Tambiko la Wanyaturu kwa gari la Lissu, wahusika bora wajitokeze

Hivi yule wa Bagamoyo si alifariki baada ya kumaliza ? Na hadi leo tuko gizani!!!!!
 
Baada ya serikali kupitia polisi kuamua kufumbia macho kesi ya shambulio la kukusudia kumuua Lissu na majuzi kufunga rasmi mjadala huo kwa kumrudishia kielelezo cha kesi (evidence) ghafla jambo hilo limechukua sura mpya.

Gari hilo lililosheheni matundu ya risasi zilizokusudia kuondoa uhai wa Lissu limekabidhiwa kwa wazee wa kimila nao wamepiga dua zao.

Wajuzi wa mambo ya asili waliofuatilia tukio hilo wanasema wahusika na hata waliojua mpango huo na kunyamaza ni vyema wakajitokeza sasa kabla ya dhahma hazijaanza kuwaangukia ambapo watatamani bora hata wangekuwa polisi ndio wamewakamata.

Wakati ni sasa bora hata wajitokeze kuliko kusubiri yajayo, kwanza Lissu ni mnyenyekevu wakitubu atawasamehe.


Tambiko za kimila ni hatari sana sanaa, nishaona mambo kadhaa na matokeo yake yanatisha, ogopa sana matambiko ya kimila, yanafanya kazi kabisa..!! Sio rahisi watu kuamini haya hasa watu waliokulia au kuishi mijini tu, ila tambiko za kimila ni hatari sana.
 
Kweli lile tukio ni la kinyama ila kama haki imeshindikana kupatikana kupitia vyombo vya dola tunyooshe mikono basi, haya mambo mengine sio.

Tambiko? Excuse me!
Asilimia kubwa ni washirikina ndio maana wanawaza hayo
 
Baada ya serikali kupitia polisi kuamua kufumbia macho kesi ya shambulio la kukusudia kumuua Lissu na majuzi kufunga rasmi mjadala huo kwa kumrudishia kielelezo cha kesi (evidence) ghafla jambo hilo limechukua sura mpya.

Gari hilo lililosheheni matundu ya risasi zilizokusudia kuondoa uhai wa Lissu limekabidhiwa kwa wazee wa kimila nao wamepiga dua zao.

Wajuzi wa mambo ya asili waliofuatilia tukio hilo wanasema wahusika na hata waliojua mpango huo na kunyamaza ni vyema wakajitokeza sasa kabla ya dhahma hazijaanza kuwaangukia ambapo watatamani bora hata wangekuwa polisi ndio wamewakamata.

Wakati ni sasa bora hata wajitokeze kuliko kusubiri yajayo, kwanza Lissu ni mnyenyekevu wakitubu atawasamehe.
Na kitaumana kweli mila bado zipo ndugu zangu
 
M
Mambo ya matambiko ni uboya na utumwa wa kifala sana.
Mtu mweusi alishafeli muda mrefu. Yes si msomi na wakilimkubwa kwa nini asipambane kwenye vyombo vya sheria..?
 
CCM ni wazuri sn upande wa ushirikina
Hili jambo naona bado halieleweki. Tambiko sio ushirikina hata kidogo maana huwa linafanywa kwa maombi ya Mila zenu na uwazi mtupu.
Mbona maombi mengine yanafanywa makanisani na misikitini? Au hayo ni kwa vile ni ya wazungu?
 
M

Mtu mweusi alishafeli muda mrefu. Yes si msomi na wakilimkubwa kwa nini asipambane kwenye vyombo vya sheria..?
Mila hata wenzetu kwa walioendelea wanatumia , mali za mjerumani huwa hazichukuliwi hovyo ila watoto na wajukuu zao waliozizindika wakifika site huzichukua kilain sana , so haya mambo sio ya mweusi tu
 
Pro jay anakwambia uchawi hauendi kwa mentali
Lakin pia kwa akili na imani zako umazan walofanya tukio ni watu wadogo kuyumbishwa na uchawi
 
M

Mtu mweusi alishafeli muda mrefu. Yes si msomi na wakilimkubwa kwa nini asipambane kwenye vyombo vya sheria..?
Tambiko hajafanya yeye, ungetumia akili kidogo na kuweka chuki zako pembeni.
Waliofanya tambiko ni wazee wa kabila lake kumuomba Mungu wao atende haki ukizingatia DAMU ILIMWAGIKA PENYE TUKIO HILO.
Ukiwa bora huwezi elewa huku ukidhani unaelewa
 
Pro jay anakwambia uchawi hauendi kwa mentali
Lakin pia kwa akili na imani zako umazan walofanya tukio ni watu wadogo kuyumbishwa na uchawi
Mwehu we nani kataja uchawi? Use your brain
 
Kweli lile tukio ni la kinyama ila kama haki imeshindikana kupatikana kupitia vyombo vya dola tunyooshe mikono basi, haya mambo mengine sio.

Tambiko? Excuse me!
Ulozi ni Dawa ya watu wabishi, una mumeo kila siku unamwambia Baba D usichepuke siku nikigundua nitakufanya kitu mbaya anakua Mbishi unaenda kwa Mtaalamu akuangalizie anakuonyesha kwamba Baba D mtaa wa Pili hapo ana kimada na anakikamua Mwaka wa Pili huu wewe haujui anakupa Dawa uende anakwambia akienda hii Mara ya Mwisho lazima anase kweli unaenda kesho yake unapigiwa Simu toka mtaa wa Pili ukamuone Baba D kagandana na Fatuma Mitako, ulozi una faida kwa watu wabishi
 
Tambiko hajafanya yeye, ungetumia akili kidogo na kuweka chuki zako pembeni.
Waliofanya tambiko ni wazee wa kabila lake kumuomba Mungu wao atende haki ukizingatia DAMU ILIMWAGIKA PENYE TUKIO HILO.
Ukiwa bora huwezi elewa huku ukidhani unaelewa
Aisee kuna jambo nimeelewa , kweli wazee wana akili na wapo na jambo lao ni kweli dam za Lissu zilimwagika mle ,lazima kiumane mda mwalim
 
Kwamba wataloga,hamna huo ujinga siku hizi acheni upumbavu.
Mbona walishindwa kuloga asipigwe hizo risasi.
Ujinga mtupu
 
Baada ya serikali kupitia polisi kuamua kufumbia macho kesi ya shambulio la kukusudia kumuua Lissu na majuzi kufunga rasmi mjadala huo kwa kumrudishia kielelezo cha kesi (evidence) ghafla jambo hilo limechukua sura mpya.

Gari hilo lililosheheni matundu ya risasi zilizokusudia kuondoa uhai wa Lissu limekabidhiwa kwa wazee wa kimila nao wamepiga dua zao.

Wajuzi wa mambo ya asili waliofuatilia tukio hilo wanasema wahusika na hata waliojua mpango huo na kunyamaza ni vyema wakajitokeza sasa kabla ya dhahma hazijaanza kuwaangukia ambapo watatamani bora hata wangekuwa polisi ndio wamewakamata.

Wakati ni sasa bora hata wajitokeze kuliko kusubiri yajayo, kwanza Lissu ni mnyenyekevu wakitubu atawasamehe.
wameamua kujiingiza mazima kwenye masuala ya uchawi na ushirikina, baada ya maombi, ibada na misa nyingi sana za shukrani?🐒

kwamba wameona zawadi ya uhai alizowajalia Mungu hazitoshi, right?🐒
 
Mambo ya matambiko ni uboya na utumwa wa kifala sana.
haya mambo yapo boss wangu kama huamini kisasi ktk nguvu za asili yanafanya kazi tena wanapukutika kbs... Sema kwa sasa matapeli ni wengi ila ukimkuta mkali wa hizi kazi mchezo anaucheza na matokeo chanya yanapatikana chapu tu... Sema hawa nao wafanya matukio kama hayo wanakuwa wamejithatiti kiaina kwahiyo nao hawapo kiuwepesi wepesi
 
Back
Top Bottom