Tambua wakati mzuri wa kutafuta mwanamke wa maisha!

Wapo lakini wengi wao ni polygon kwa hali ya sasa watoto wazuri utaishia kuwaita shemeji na ukizifuma yule aliyekuvumilia utamuona km Mzee na jinsi mlivyo wanaume ukiwa vizuri kiuchumi basi hata kula utataka ule vilivyonona ni hayo tu
 
Naanza na wewe kuna Mwanaume Ulishawahi Kumuhangaikia Hivo?
 
povu mubashara, pole bana
 
Kiukweli mwanamke anaekupenda na kukuthamini ukiwa huna kitu hasa ktk hii hali ya vyuma kukaza nindio chaguo bora tatizo linakuja wewe unamuona kimuonekano hakuvutii sasa hapo ndo unapofeli.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] haka ka mchezo bhana. Yaani unayempenda hakupendi & vice versa
 
Ha ha Sina uhakika na hilo[emoji28]
 
Tumestuka, tukiwapenda mkiwa hamna kitu mkipata mnatudharau na kwenda kutafuta mnaoona wanawafaa. Hivyo basi mtafute kwanza mkizipata ndio muoe. Adamu alikuwa na kila kitu ndio Eva akafuata.
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Inaonyesha yashawah kukukuta
POLE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…