[emoji23][emoji23][emoji23]umenikumbusha mbali sanaJuma na Uledi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]umenikumbusha mbali sanaJuma na Uledi
Ni bora wao hata wanawaza hayo, wew na mm tumellala usingizi wa pono.. hata hyo kesho itakuchaje hujui..Baadhi ya mipango yao aitafanikiwa, Sio kila analopanga mzungu lazima litimie.
Sometimes wazungu wanakuwa na Mawazo ya Kusadikika.
Naona kwenye ccm kubaki madaraka ndio mtafanikiwa.. Mengine labda tukapige ramli kwanza, maana ni zaidi ya njozi za Al-nachaTanzania tuna malengo tulojiwekea kwa miaka 50 ijayo pia:
1. Ugonjwa wa malaria ukawekwe makumbusho.
2. Barabara za lami hadi chumbani.
3. Elimu kabla hujazaliwa ianze.
4. Ajali zipungue 0.00001%
5. Uhalifu ubaki wa chumbani tu.
6. Masikini zaidi amiliki toyota carina 2019
7. CCM ibaki madaraka
hapo mimi mwenyewe nimeishiwa nguvu ..mkuuKuna vitu nimeshindwa kuviamini..naomba link nisome mwenyewe..mfano;
1.kujenga bomba la mafuta kutoka sayari moja mpk nyingine[emoji23][emoji23][emoji23]
2.kufungwa kati ya mawasiliano ya watu wa dunia na mars..WHY!???!
Nipe link mkuu niondoe doubt
kuna mipango ni ngumu sn kufanikiwa hasa7Tanzania tuna malengo tulojiwekea kwa miaka 50 ijayo pia:
1. Ugonjwa wa malaria ukawekwe makumbusho.
2. Barabara za lami hadi chumbani.
3. Elimu kabla hujazaliwa ianze.
4. Ajali zipungue 0.00001%
5. Uhalifu ubaki wa chumbani tu.
6. Masikini zaidi amiliki toyota carina 2019
7. CCM ibaki madaraka
Shannara..!?😀😀😀 mwaka 3000, kabla ya mwaka 2500 itatokea vita ya nuclear au explosion ambayo binadamu hatoweza kucontrol, na huo ndo utakuwa mwisho wa mataifa makubwa kama US, sehem ndogo sana ya dunia itabaki ambayo pia itakuwa unproductive, 95% ya viumbe vya dunia vitatoweka. Vitazaliwa aina mpya ya viumbe ambavyo vitatokana na chemical reaction itakayobakia baada ya explosion.
[HASHTAG]#nabii[/HASHTAG] mim
Unaundugu na nabii titto..?😀😀😀 mwaka 3000, kabla ya mwaka 2500 itatokea vita ya nuclear au explosion ambayo binadamu hatoweza kucontrol, na huo ndo utakuwa mwisho wa mataifa makubwa kama US, sehem ndogo sana ya dunia itabaki ambayo pia itakuwa unproductive, 95% ya viumbe vya dunia vitatoweka. Vitazaliwa aina mpya ya viumbe ambavyo vitatokana na chemical reaction itakayobakia baada ya explosion.
[HASHTAG]#nabii[/HASHTAG] mim
Hutaamini ikifika 2050 lami zipo kila sehemu, mtoto ako anazaliwa kashafundishwaNaona kwenye ccm kubaki madaraka ndio mtafanikiwa.. Mengine labda tukapige ramli kwanza, maana ni zaidi ya njozi za Al-nacha
Namba 7. ndío mpango rahisi sanaa!!..kuna mipango ni ngumu sn kufanikiwa hasa7
Hayo malengo si yalikiwa 1961 bado tu hayajatimiaTanzania tuna malengo tulojiwekea kwa miaka 50 ijayo pia:
1. Ugonjwa wa malaria ukawekwe makumbusho.
2. Barabara za lami hadi chumbani.
3. Elimu kabla hujazaliwa ianze.
4. Ajali zipungue 0.00001%
5. Uhalifu ubaki wa chumbani tu.
6. Masikini zaidi amiliki toyota carina 2019
7. CCM ibaki madaraka
hilo bomba litakuwa linavutika manake sayari zina move na na orbit yake ina change.Dah bomba la mafuta kutoka Mars Hadi hapa. Rokeri tu inachukua mwaka kufika Mars Licha ya spidi.
Tufanyeni kazi tu