Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 4,355
- 4,476
Upuuzi mtupu asee bongo hiiTupo na chaguzi ndogo,nabii tito,kigwa kutaja majangili,diamond na tunda.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upuuzi mtupu asee bongo hiiTupo na chaguzi ndogo,nabii tito,kigwa kutaja majangili,diamond na tunda.....
Duh😀😀😀 mwaka 3000, kabla ya mwaka 2500 itatokea vita ya nuclear au explosion ambayo binadamu hatoweza kucontrol, na huo ndo utakuwa mwisho wa mataifa makubwa kama US, sehem ndogo sana ya dunia itabaki ambayo pia itakuwa unproductive, 95% ya viumbe vya dunia vitatoweka. Vitazaliwa aina mpya ya viumbe ambavyo vitatokana na chemical reaction itakayobakia baada ya explosion.
[HASHTAG]#nabii[/HASHTAG] mim
Hawa watu wanamjaribu MunguKurefusha miaka haiwezekani
Wanataka tuamini kuwa wao ndio Mungu, wanasahau kuwa Mungu hajaribiwi na mipango ya Mungu lazima itimie kwa wakati alio pangaSawa wapange hayo wakimaliza wajue na Mungu pia ako na mipango yake madhubuti tena isiyo na shaka wala doa