Tambua yaliyoandaliwa na wazungu miaka 2000+ ijayo

Miaka yote hiyo mwenye kizazi atakuwa amekiangamiza kwanza kina maovu mengi huko mbali hakiacha kitimize hayo
 
Duh
 
Sawa wapange hayo wakimaliza wajue na Mungu pia ako na mipango yake madhubuti tena isiyo na shaka wala doa
Wanataka tuamini kuwa wao ndio Mungu, wanasahau kuwa Mungu hajaribiwi na mipango ya Mungu lazima itimie kwa wakati alio panga
 
2500 kichwa kubwa mimi sintokuepo duniani[emoji45] [emoji45] [emoji45]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…