kama tunahitaji nchi hizi za kiafrika ziendelee lazma tujifunze kumteua/kumchagua/kumpendekeza kiongozi asie na masihara, mwenye kuonyesha uwezo si kwa kuongea au kuongelewa bali kwa kutenda na kuonekana.mkali na mtamani maendeleo. sasa leo mwanakijiji anaongelea mambo muhimu na dhabiti kwa nchi duh kashaanza kushambuliwa.tatizo tunaangalia maslahi binafsi na si ya nchi,umaarufu binafsi,kuwa tajiri binafsi.kwa njia hii nani atakuja kuwazia ya nchi?nasema tena inabidi tupate mtu mwenye kauditekta ka maendeleo na kuona mbele 100yrs, si kila mtu akikaa anawazia 2010,that is poor vision, na inaonyesha ni namna gani nchi ilivyodororeshwa kimawaZo na hawa viongozi wetu.too much concerned na uchaguzi kuliko maendeleo.tufike mahali tuwe na deep analyisis za viongozi tunaowachagua, na kumwomba mola atupe hekima na busara za kutambua kiongozi bora na si bora kiongozi.