TAMISEMI: Acheni kuajiri kimya kimya, mchakato wa ajira 6000 za walimu ufanyike kwa uwazi

TAMISEMI: Acheni kuajiri kimya kimya, mchakato wa ajira 6000 za walimu ufanyike kwa uwazi

Ni malaki mkuu kwenye mamilioni hatujafika bado
yaani hata milioni mbili hatujafika ? Kwahio unadhani ni malaki yapo tisa yaani sio hata malaki kumi na moja ?

Kumbuka sio wahitimu tu wanaotaka ajira..., yoyote mwenye mdomo anayehitaji kula anahitaji ajira (hata wale wa between 18 - 25 ambao unawapa watoto wako waku-lele wakati wewe unapiga issue zao ili hivyo vijisenti wawatumie wazazi wao vijijini nao wanahitaji ajira.
 
Hapo hata wakifuata mfumo, tegemea ndugu kwanza wengine wanafuata.!!
 
Kumbuka Magu alipotangaza ajiza za walimu elf13 waliomba watu zaidi ya laki2 wenye sifa na wako kwenye kanzidata,wakatoa ajira elf7 kwamba wataongeza wengine kufikia elf13,nafikri ndo hiyo elf6 aliyosema mama hivyo hiyo namba wataichomoa tu pale kwa uelewa wangu watu watajulishwa kwa simu na kupitia tovuti ya ajira na tamisemi
Ushauri sahihi
 
Hapo hata wakifuata mfumo, tegemea ndugu kwanza wengine wanafuata.!!
Wanaanza ndugu zao, wanafuatia wenye vishoka a.k.a connection ndipo zinakuja za sandakarawe za kina sie na hii yote imesababishwa na hayati magufuli kutoa ajira kiduchu ingali waombaji ni wengi
 
yaani hata milioni mbili hatujafika ? Kwahio unadhani ni malaki yapo tisa yaani sio hata malaki kumi na moja ?

Kumbuka sio wahitimu tu wanaotaka ajira..., yoyote mwenye mdomo anayehitaji kula anahitaji ajira (hata wale wa between 18 - 25 ambao unawapa watoto wako waku-lele wakati wewe unapiga issue zao ili hivyo vijisenti wawatumie wazazi wao vijijini nao wanahitaji ajira.
Ok..Nilidhani unazungumzia kada ya ualimu peke yake sikujua kama una maanisha tatizo la ajira in general
 
Kwa nini wewe unataka uwazi TAMUSEMI?..hapo hapo ndiyo nakazia
 
Kwa nini wewe unataka uwazi TAMUSEMI?..hapo hapo ndiyo nakazia
Acha tu nikuelewe hivo hivo ila nxt tym unapokuja kujibu hoja za kufichua uovu tumia fyekelo la pembeni naona hii verified ID yako inakupa shida kufunguka ukweli
 
Acha tu nikuelewe hivo hivo ila nxt tym unapokuja kujibu hoja za kufichua uovu tumia fyekelo la pembeni naona hii verified ID yako inakupa shida kufunguka ukweli
Mkuu sina woga ndiyo maana nipo very open.
Ha..ha..haa...
 
Hivi nikiita waandishi wa habari mimi mwananchi wa kawaida watakuja ili nizungumzie hili swala itawezekana
 
Hivi nikiita waandishi wa habari mimi mwananchi wa kawaida watakuja ili nizungumzie hili swala itawezekana
Kama unazo hoja za msingi itawezekana. BTW unataka kuzungumzia nini tujue namna gani tukusaidie kuwapata?
 
Back
Top Bottom