Kindo Sila
Member
- Jun 22, 2024
- 6
- 6
OR TAMISEMI, Dodoma kuna nini, naomba kujuzwa wadau. Mimi ni mmojawapo wa watumishi niliopata uhamisho toka kwa Katibu Mkuu TAMISEMI, nikihamia HALMASHAURI nyingine. Cha kushangaza, tangu kuripoti kituo kipya mwezi Oktoba 2023, bado CHEKI namba kwenye MFUMO wa UTUMISHI (ESS) inasoma kwa Mwajiri wa zamani.
Afisa Utumishi wa sasa, anapoingia kwenye MFUMO wa watumishi wake ESS, hanioni. Afisa Utumishi wa zamani yeye anasema wewe ulishahama nenda kwa kwa Mwajiri wako, taarifa za kuhama nilishatuma TAMISEMI.
Wadau naomba kujua, nini tatizo TAMISEMI
Pia soma
- Ofisi ya Rais – TAMISEMI Special Thread: Karibu tukuhudumie, tupe Maoni, Maswali, Mapendekezo na Malalamiko
Afisa Utumishi wa sasa, anapoingia kwenye MFUMO wa watumishi wake ESS, hanioni. Afisa Utumishi wa zamani yeye anasema wewe ulishahama nenda kwa kwa Mwajiri wako, taarifa za kuhama nilishatuma TAMISEMI.
Wadau naomba kujua, nini tatizo TAMISEMI
Pia soma
- Ofisi ya Rais – TAMISEMI Special Thread: Karibu tukuhudumie, tupe Maoni, Maswali, Mapendekezo na Malalamiko