Tamisemi,Kwanini mnatutesa?

Tamisemi,Kwanini mnatutesa?

Nakumbuka kuna mtu humu nlimjibu kuwa mwaka huu hakuta kuwa nas awamu ya pili ya ajira za walimu ni bora ukafanya utaratibu kuomba shule binafsi.
 
Nakumbuka kuna mtu humu nlimjibu kuwa mwaka huu hakuta kuwa nas awamu ya pili ya ajira za walimu ni bora ukafanya utaratibu kuomba shule binafsi.

Kweli?
 
Nakumbuka kuna mtu humu nlimjibu kuwa mwaka huu hakuta kuwa nas awamu ya pili ya ajira za walimu ni bora ukafanya utaratibu kuomba shule binafsi.

Wewe kama nani unaongea ivyo acha kuropoka unahoja
 

Kiongozi kama unaona nakudanganya endeleen kusubiri hiyo awamu ya pili ila unatakiwa kufahamu kwamba awamu ya pili huwa ni kuziba mapengo ya wale ambao hawaja riport vituon kwa awamu ya kwanza na kwa taarifa ambazo zimesha asha kufika TAMISEMI kutoka halmashauri mbali mbali nchini idadi ya walio report vituon kwa mwaka huu imekuwa kubwa sana na kwa wale ambao hawajariport idadi yao imekuwa fixed na st.john ambao majina yao yalitoka baada ya ile hesabu ya 36000 kutangazwa, na unatakiwa kutambua kwamba idadi hii inakamilishwa na awamu zote mbili yaan ya kwanza na wasio report inakuwa fixed awamu ya pili na lazima idadi ifikie hiyo sababu ndiyo iliyo tengewa budget na hazina na si zaid, nafikiri kwa maelezo hayo nitakuwa nimeeleka vyema mwalimu wetu.
 
Wewe kama nani unaongea ivyo acha kuropoka unahoja

Ikiwa unajua kuwa huu ni mtandao wa kijamii na kila mtu anayo access ya kuingia haijalishi ni nani na anafanya kazi wapi na wala usiwe na imani kwamba waliopo humu woote ni watu wa sampuli yako yaani hawana kazi wapo tu mtaan. Plz note some thing.
 
Ikiwa unajua kuwa huu ni mtandao wa kijamii na kila mtu anayo access ya kuingia haijalishi ni nani na anafanya kazi wapi na wala usiwe na imani kwamba waliopo humu woote ni watu wa sampuli yako yaani hawana kazi wapo tu mtaan. Plz note some thing.

Unavyo post any information uwe na evidance xo your greater thinkr unaongea bila sourc
 
Kiongozi kama unaona nakudanganya endeleen kusubiri hiyo awamu ya pili ila unatakiwa kufahamu kwamba awamu ya pili huwa ni kuziba mapengo ya wale ambao hawaja riport vituon kwa awamu ya kwanza na kwa taarifa ambazo zimesha asha kufika TAMISEMI kutoka halmashauri mbali mbali nchini idadi ya walio report vituon kwa mwaka huu imekuwa kubwa sana na kwa wale ambao hawajariport idadi yao imekuwa fixed na st.john ambao majina yao yalitoka baada ya ile hesabu ya 36000 kutangazwa, na unatakiwa kutambua kwamba idadi hii inakamilishwa na awamu zote mbili yaan ya kwanza na wasio report inakuwa fixed awamu ya pili na lazima idadi ifikie hiyo sababu ndiyo iliyo tengewa budget na hazina na si zaid, nafikiri kwa maelezo hayo nitakuwa nimeeleka vyema mwalimu wetu.

Sawa,na mara nyingi mtu anapolalamikia idara fulani juu ya jambo fulani hiyo idara inapaswa kutoa tamko,kwanini tamisemi wasifunguke basi,kuwa hatuajiri awamu ya pili kwa walimu?
 
Sawa,na mara nyingi mtu anapolalamikia idara fulani juu ya jambo fulani hiyo idara inapaswa kutoa tamko,kwanini tamisemi wasifunguke basi,kuwa hatuajiri awamu ya pili kwa walimu?

Sulle; achana na uyo jamaa hatatuongezea mastress bila sababu huu si muda wakulumbana wala kukatishana tamaa ni muda wakufarijiana na kuwekana sawa ivi wenyejukumu lakutoa tamko kama amna ajira second selection si tamisemi yeye anaongea kama nani nimekutana na watu pale wizara ya elimu wakanisibitishia lazima majina yetu yatatoka sema ndo tuwe na subrira.
 
Back
Top Bottom