TAMISEMI mmeamua kunifilisi kwa kuninyima uhamisho!

TAMISEMI mmeamua kunifilisi kwa kuninyima uhamisho!

Nilienda mwezi wa kumi na mbili wakanipanga pale ndo ikaisha hivo,nadhani yule mama wa pale mtumba naye alihitaji chochote
Uhamisho saivi si kwenye mfumo wa pepmis?ess?
Ingia kwenye mfumo jaza,weka sababu wameziainisha unaselect,then upload CV yako,halafu mchek supervisor akupitishie nae online,then ikienda level nyingine Kuna boss wa kupitisha.

Mie nimejaza toka j5 iliyopita,bado kuaplod CV,then niwasiliane nabmkuu wa idara akupitishie,mengine ntajua mbele kwa mbele.
 
Nimeamua kulileta humu labda nitapata relief, ni hivi nilifanya maombi ya uhamisho wa kubadilishana ambapo kwa ngazi zote mpaka mkoani nilikamilisha japo kwa mbimbe nilitumia miezi mitano(ila kimsingi ni kazi ambayo haimalizi hata mwezi)watakuzungusha makusudi tu.

Baada ya hapo maombi yangu kutoka mkoani yalipelekwa mwezi wa sita TAMISEMI na hili nilijihakikishia mwenyewe, mwezi wa kumi majina yalitoka sikuwepo ikabidi nifunge safari niende TAMISEMI niliwakuta na jina langu lilikuwepo kwenye database na kuniambia wako kwenye process za kutuma barua na watatoa majina mapema iwezekanavyo.

Baada ya hapo nilifunga safari ya kurudi nyumbani nimekaa weee mpaka mwezi wa pili hola, nikapata mtu yeye aliahama akaniconnect kwa mtu wake nikaweka kiasi fulani cha kutangulia ili ishu ikikamilika nimalizie mpaka sasa jamaa hapatikani sijui kafariki ama amekuwaje?

Kiufupi nahisi kuchanganyikiwa, Mchengerwa naye kimya sijui nimlilie nani.

Nimedata kwakweli hata ukitukana sijali wala nina shida zangu zinanifanya niombe uhamisho tena kwa haraka
Huko utumishi unaambiwa jina lako liko kwenye process lakini utasubiri mpaka bas mimi hapa nasubiri sasa unaelekea mwaka
 
Uhamisho saivi si kwenye mfumo wa pepmis?ess?
Ingia kwenye mfumo jaza,weka sababu wameziainisha unaselect,then upload CV yako,halafu mchek supervisor akupitishie nae online,then ikienda level nyingine Kuna boss wa kupitisha.

Mie nimejaza toka j5 iliyopita,bado kuaplod CV,then niwasiliane nabmkuu wa idara akupitishie,mengine ntajua mbele kwa mbele.
Sisi ni wale wa mkononi ilishaenda tamisemi tangu mwaka jana mwezi wa sita sina process ya kufanya tena
 
Sisi ni wale wa mkononi ilishaenda tamisemi tangu mwaka jana mwezi wa sita sina process ya kufanya tena
Ok,mie niliomba uhamisho mwaka Jana January toka Tabora,nikawa sijibiwi,nilikuwa napiga simu Sana,najibiwa subiria,iko kwenye mchakato na majibu mengine ya kisiasa.

Nikajipanga kifedha,nikaenda mtumba mwezi wa 6,wa 7 na wa 8,mwaka Jana,nimekuja pewa barua ya uhamisho kuja Mwanza mwezi wa 9 mwaka jana.

Sikutoa rushwa hata Mia,nilijipanga kifedha kwaajili ya logistics za usafiri,food na malazi,manake nilikuwa naenda nakaa siku 3,then wananirudisha Tabora kusainisha barua,then narudi Dom,hadi maajent wa mabasi ya Tabora to Dom walinikariri🤣🤣 etc

Usikate tamaa,Ila wapaswa kufatilia sana,bila hivo ,utasubiri Sana.
 
kuna watu wanatafuta ajira ya utumishi na wengine wanataka kuhama .kweli mwenye shibe muogope sana.
Acha kazi si unataka kuhama sijui ufike mjini
 
Nimeamua kulileta humu labda nitapata relief, ni hivi nilifanya maombi ya uhamisho wa kubadilishana ambapo kwa ngazi zote mpaka mkoani nilikamilisha japo kwa mbimbe nilitumia miezi mitano(ila kimsingi ni kazi ambayo haimalizi hata mwezi)watakuzungusha makusudi tu.

Baada ya hapo maombi yangu kutoka mkoani yalipelekwa mwezi wa sita TAMISEMI na hili nilijihakikishia mwenyewe, mwezi wa kumi majina yalitoka sikuwepo ikabidi nifunge safari niende TAMISEMI niliwakuta na jina langu lilikuwepo kwenye database na kuniambia wako kwenye process za kutuma barua na watatoa majina mapema iwezekanavyo.

Baada ya hapo nilifunga safari ya kurudi nyumbani nimekaa weee mpaka mwezi wa pili hola, nikapata mtu yeye aliahama akaniconnect kwa mtu wake nikaweka kiasi fulani cha kutangulia ili ishu ikikamilika nimalizie mpaka sasa jamaa hapatikani sijui kafariki ama amekuwaje?

Kiufupi nahisi kuchanganyikiwa, Mchengerwa naye kimya sijui nimlilie nani.

Nimedata kwakweli hata ukitukana sijali wala nina shida zangu zinanifanya niombe uhamisho tena kwa haraka
Dawa ni kuunga mkono Chadema tu CCM waondoke zao.
 
Komaa na huyo aliyekuonesha jina kwenye database, Kuna kakuda kamsonde ndo kanaharibu MiCHANGO hapo mtumba. Kakiondoka panakuwa patam
 
Nina mashaka na elimu yako,aidha haikusaidii....uhamisho ni lazima.
Uhamisho wa nini ujawakuta vijana wenzako wakitafuta hata kibarua mtaani.
Unajua vijana mnatatizo moja mkiwa mjapata ajira mnaomba hata popote ila mkipewa mnataka kupangia watu.
Nilishaacha kuajiri vijana wanaweza kukufilisi
 
Uhamisho wa nini ujawakuta vijana wenzako wakitafuta hata kibarua mtaani.
Unajua vijana mnatatizo moja mkiwa mjapata ajira mnaomba hata popote ila mkipewa mnataka kupangia watu.
Nilishaacha kuajiri vijana wanaweza kukufilisi
Unafikiri aliyeleta uhamisho alikuwa mjinga....lazima ujue kuhama kuna faida mbali mbali.
1. Kuleta ufanisi katika KAZI.
2. Kuimarisha ndoa na familia.
So huwezi kujua Kwa nini MTU anataka kuhama.
Kama wewe ni mwajiri basi Una matatizo Kwenye ubongo wako na utazeeka vibaya.
 
Unafikiri aliyeleta uhamisho alikuwa mjinga....lazima ujue kuhama kuna faida mbali mbali.
1. Kuleta ufanisi katika KAZI.
2. Kuimarisha ndoa na familia.
So huwezi kujua Kwa nini MTU anataka kuhama.
Kama wewe ni mwajiri basi Una matatizo Kwenye ubongo wako na utazeeka vibaya.
SOma vigezo na masharti safari hii nawasagia kunguni TAMISEMI.
Mkiajiliwa mnataka kuhamishwa .huko vijijini mnataka wakae wakina nani
 
Back
Top Bottom