TAMISEMI mmeamua kunifilisi kwa kuninyima uhamisho!

TAMISEMI mmeamua kunifilisi kwa kuninyima uhamisho!

Vipi ulifanikiwa uhamisho?
Yap,kimya kimya hiyo babu wengine endeleeni kusugua bechi,nowdays kila kitu kinaenda shagalabagala sababu ya Raisi,hamna hata anayesikia command zake
 
Mheshimiwa Waziri Mchengerwa hebu tueleze shida ni NINI? hadi leo majina ya wanaoomba UHAMISHO hayajatoka hata kwa wale,wanaojigharamia wenyewe..
Hawezi kusema kwani hamna hata anayemuhofia,sa hivi kila kitu kinaenda hovyohovyo maana hamna mwenye command,mmeweka ghalasa pale nani analiogopa hata likitoa command wanalipuuza,
 
Mpaka mfike 2030 hamna rangi mtaacha kuiona
 
Uhamisho saivi si kwenye mfumo wa pepmis?ess?
Ingia kwenye mfumo jaza,weka sababu wameziainisha unaselect,then upload CV yako,halafu mchek supervisor akupitishie nae online,then ikienda level nyingine Kuna boss wa kupitisha.

Mie nimejaza toka j5 iliyopita,bado kuaplod CV,then niwasiliane nabmkuu wa idara akupitishie,mengine ntajua
 
Back
Top Bottom