TAMISEMI mmeamua kunifilisi kwa kuninyima uhamisho!

TAMISEMI mmeamua kunifilisi kwa kuninyima uhamisho!

Ok,mie niliomba uhamisho mwaka Jana January toka Tabora,nikawa sijibiwi,nilikuwa napiga simu Sana,najibiwa subiria,iko kwenye mchakato na majibu mengine ya kisiasa.

Nikajipanga kifedha,nikaenda mtumba mwezi wa 6,wa 7 na wa 8,mwaka Jana,nimekuja pewa barua ya uhamisho kuja Mwanza mwezi wa 9 mwaka jana.

Sikutoa rushwa hata Mia,nilijipanga kifedha kwaajili ya logistics za usafiri,food na malazi,manake nilikuwa naenda nakaa siku 3,then wananirudisha Tabora kusainisha barua,then narudi Dom,hadi maajent wa mabasi ya Tabora to Dom walinikariri🤣🤣 etc

Usikate tamaa,Ila wapaswa kufatilia sana,bila hivo ,utasubiri Sana.
Honger
Ok,mie niliomba uhamisho mwaka Jana January toka Tabora,nikawa sijibiwi,nilikuwa napiga simu Sana,najibiwa subiria,iko kwenye mchakato na majibu mengine ya kisiasa.

Nikajipanga kifedha,nikaenda mtumba mwezi wa 6,wa 7 na wa 8,mwaka Jana,nimekuja pewa barua ya uhamisho kuja Mwanza mwezi wa 9 mwaka jana.

Sikutoa rushwa hata Mia,nilijipanga kifedha kwaajili ya logistics za usafiri,food na malazi,manake nilikuwa naenda nakaa siku 3,then wananirudisha Tabora kusainisha barua,then narudi Dom,hadi maajent wa mabasi ya Tabora to Dom walinikariri🤣🤣 etc

Usikate tamaa,Ila wapaswa kufatilia sana,bila hivo ,utasubiri Sana.
Hongera ulipambana sana
 
Uhamisho saivi si kwenye mfumo wa pepmis?ess?
Ingia kwenye mfumo jaza,weka sababu wameziainisha unaselect,then upload CV yako,halafu mchek supervisor akupitishie nae online,then ikienda level nyingine Kuna boss wa kupitisha.

Mie nimejaza toka j5 iliyopita,bado kuaplod CV,then niwasiliane nabmkuu wa idara akupitishie,mengine ntajua mbele kwa mbele.
Ulivyoandika kirahisi, unaweza sena huo uhamisho kwenye ESS ni rahisi namna hiii
 
Kijana majina ya uhamisho yanatarajia kutoka march 2024. Inasubiriwa ajira za kada za ualimu na afya zitangazwe ili ibalance ikama maana sio wote wanaohama kwa kubadilishina wengine wanaohama kwa dharura maalum. Fanya subra .
dharula maalumu ni kama ipi mkuu
 
Kama ulifuata hatua zote kwa usahihi bila chengachenga tulia utahama tu ni suala la muda. Na kama ulifanya magumashi kwa hatua yoyote basi lolote laweza kutokea
 
Kijana majina ya uhamisho yanatarajia kutoka march 2024. Inasubiriwa ajira za kada za ualimu na afya zitangazwe ili ibalance ikama maana sio wote wanaohama kwa kubadilishina wengine wanaohama kwa dharura maalum. Fanya subra .
Asante kwa reply
 
Kama ulifuata hatua zote kwa usahihi bila chengachenga tulia utahama tu ni suala la muda. Na kama ulifanya magumashi kwa hatua yoyote basi lolote laweza kutokea
Mkuu nilifanya mwenyewe hatua kwa hatua mpaka mwisho
 
Unatumaje pesa Kwa MTU usiemfahamu Kwa kukonektiwa na MTU dunia hii ya Leo yenye Utapeli wa kila namna??
 
Inamaana hapa hamna watu wanakaa huko tamisemi wakwambie lolote?
 
Fungasha mizigo uje Pm na 300k .Pasaka uka ilie unapo taka kuamia [emoji41]
 
Mchengerwa ni bogus mwanzoni lilikuwa linabweka bweka lionekane na mama mkwe lipo kazini sasa hivi limelala usingizi wa pono
Barua zinakuja watu wanaondoka kimya kimya.
Majitu yapo kule mtumba yamekaa yanasubiri hela za watu tu
 
Nimeamua kulileta humu labda nitapata relief, ni hivi nilifanya maombi ya uhamisho wa kubadilishana ambapo kwa ngazi zote mpaka mkoani nilikamilisha japo kwa mbimbe nilitumia miezi mitano(ila kimsingi ni kazi ambayo haimalizi hata mwezi)watakuzungusha makusudi tu.

Baada ya hapo maombi yangu kutoka mkoani yalipelekwa mwezi wa sita TAMISEMI na hili nilijihakikishia mwenyewe, mwezi wa kumi majina yalitoka sikuwepo ikabidi nifunge safari niende TAMISEMI niliwakuta na jina langu lilikuwepo kwenye database na kuniambia wako kwenye process za kutuma barua na watatoa majina mapema iwezekanavyo.

Baada ya hapo nilifunga safari ya kurudi nyumbani nimekaa weee mpaka mwezi wa pili hola, nikapata mtu yeye aliahama akaniconnect kwa mtu wake nikaweka kiasi fulani cha kutangulia ili ishu ikikamilika nimalizie mpaka sasa jamaa hapatikani sijui kafariki ama amekuwaje?

Kiufupi nahisi kuchanganyikiwa, Mchengerwa naye kimya sijui nimlilie nani.

Nimedata kwakweli hata ukitukana sijali wala nina shida zangu zinanifanya niombe uhamisho tena kwa haraka
Uhamiaso ni kwanjia ya mfumo,pole ulikutana na vishoka,usipende shortcuts.
 
Nimeamua kulileta humu labda nitapata relief, ni hivi nilifanya maombi ya uhamisho wa kubadilishana ambapo kwa ngazi zote mpaka mkoani nilikamilisha japo kwa mbimbe nilitumia miezi mitano(ila kimsingi ni kazi ambayo haimalizi hata mwezi)watakuzungusha makusudi tu.

Baada ya hapo maombi yangu kutoka mkoani yalipelekwa mwezi wa sita TAMISEMI na hili nilijihakikishia mwenyewe, mwezi wa kumi majina yalitoka sikuwepo ikabidi nifunge safari niende TAMISEMI niliwakuta na jina langu lilikuwepo kwenye database na kuniambia wako kwenye process za kutuma barua na watatoa majina mapema iwezekanavyo.

Baada ya hapo nilifunga safari ya kurudi nyumbani nimekaa weee mpaka mwezi wa pili hola, nikapata mtu yeye aliahama akaniconnect kwa mtu wake nikaweka kiasi fulani cha kutangulia ili ishu ikikamilika nimalizie mpaka sasa jamaa hapatikani sijui kafariki ama amekuwaje?

Kiufupi nahisi kuchanganyikiwa, Mchengerwa naye kimya sijui nimlilie nani.

Nimedata kwakweli hata ukitukana sijali wala nina shida zangu zinanifanya niombe uhamisho tena kwa haraka
Pole Mkuu kama huyo kafa tafuta mwingine na kila la heri
 
Kijana majina ya uhamisho yanatarajia kutoka march 2024. Inasubiriwa ajira za kada za ualimu na afya zitangazwe ili ibalance ikama maana sio wote wanaohama kwa kubadilishina wengine wanaohama kwa dharura maalum. Fanya subra .
machi ishapita pole sana kamanda
 
Back
Top Bottom