TAMISEMI mmeamua kunifilisi kwa kuninyima uhamisho!

Honger
Hongera ulipambana sana
 
Ulivyoandika kirahisi, unaweza sena huo uhamisho kwenye ESS ni rahisi namna hiii
 
Kijana majina ya uhamisho yanatarajia kutoka march 2024. Inasubiriwa ajira za kada za ualimu na afya zitangazwe ili ibalance ikama maana sio wote wanaohama kwa kubadilishina wengine wanaohama kwa dharura maalum. Fanya subra .
dharula maalumu ni kama ipi mkuu
 
Kama ulifuata hatua zote kwa usahihi bila chengachenga tulia utahama tu ni suala la muda. Na kama ulifanya magumashi kwa hatua yoyote basi lolote laweza kutokea
 
Kijana majina ya uhamisho yanatarajia kutoka march 2024. Inasubiriwa ajira za kada za ualimu na afya zitangazwe ili ibalance ikama maana sio wote wanaohama kwa kubadilishina wengine wanaohama kwa dharura maalum. Fanya subra .
Asante kwa reply
 
Kama ulifuata hatua zote kwa usahihi bila chengachenga tulia utahama tu ni suala la muda. Na kama ulifanya magumashi kwa hatua yoyote basi lolote laweza kutokea
Mkuu nilifanya mwenyewe hatua kwa hatua mpaka mwisho
 
Unatumaje pesa Kwa MTU usiemfahamu Kwa kukonektiwa na MTU dunia hii ya Leo yenye Utapeli wa kila namna??
 
Inamaana hapa hamna watu wanakaa huko tamisemi wakwambie lolote?
 
Fungasha mizigo uje Pm na 300k .Pasaka uka ilie unapo taka kuamia [emoji41]
 
Mchengerwa ni bogus mwanzoni lilikuwa linabweka bweka lionekane na mama mkwe lipo kazini sasa hivi limelala usingizi wa pono
Barua zinakuja watu wanaondoka kimya kimya.
Majitu yapo kule mtumba yamekaa yanasubiri hela za watu tu
 
Uhamiaso ni kwanjia ya mfumo,pole ulikutana na vishoka,usipende shortcuts.
 
Pole Mkuu kama huyo kafa tafuta mwingine na kila la heri
 
Kijana majina ya uhamisho yanatarajia kutoka march 2024. Inasubiriwa ajira za kada za ualimu na afya zitangazwe ili ibalance ikama maana sio wote wanaohama kwa kubadilishina wengine wanaohama kwa dharura maalum. Fanya subra .
machi ishapita pole sana kamanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…