Tamisemi na Wizara ya Elimu mawazo ya Profesa Kitila Mkumbo yasipuuzwe

Tamisemi na Wizara ya Elimu mawazo ya Profesa Kitila Mkumbo yasipuuzwe

REJESHO HURU

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2014
Posts
4,664
Reaction score
9,929
Mawazo aliyoyatoa mbunge wa ubungo kilita mkumbo kuhusu kufuta cheo cha afisa elimu kata ni mazuri na yana tija kwani shughuli wanazofanya hao watu zinaweza kufanywa na mwalimu mkuu, au mkuu wa shule na tena serikali ikaokoa kiasi cha pesa kwani wanalipwa posho ya madaraka laki mbili na nusu Kila mwezi kwa majukumu ambayo yanaweza kufanywa na mkuu wa shule

Na asilimia kubwa hawa watu wanashinda vijiweni kwakutokua na majukumu mda wote so wapo kupiga porojo tu vijiweni na kutisha tisha walimu kwakutokosa majukumu yakufanya kwaiyo wazo la wao kurudi kufundisha lina mashiko warudi kuongeza nguvu kazi kama ambavyo mlifanya kwa walimu wale walioenda kufanya kazi halmashauri wamerudi kufundisha mashuleni upungufu wa walimu umezidi kupungua

Warudi kufundisha msipuuze wazo lake mh mbunge.
 
Sahihi kabisa. Tatizo siasa zinaharibu mifumo yetu....inaweza ikatokea lakini akija mwingine akaamrisha warudishwe....hii ni kutafuta umaarufu na kusifiwa
 
Umeongea mipoint[emoji122][emoji122]
Warudi kwani kutokosa kwao majukumu yakufanya imepelekea kuwapa stress tu walimu na kuongeza migogoro katika tasisi za elimu kwaiyo Prof katoa wazo zuri sana hicho cheo kifutwe
 
Wakirudi hilo gap la upungufu litazibwa na watu 3000 tu?
Kiufupi hicho cheo kinaongeza migongano katika tasisi afisa elimu kata na mkuu wa shule mak lol
Kiukweli mratibu elimu kata ni cheo cha hovyo kakuna LA maaana

Wakirudi hilo gap la upungufu litazibwa na watu 3000 tu?
Unajua uwezo wa mwalimu mmoja anaweza badilisha shule Kila kata kina shule na Kuna afisa elimu kata so huyo mmoja akirusi darasana anaweza toa mchango mkubwa sana Kuna mafisa elimu kata ambao masomo wanayofundisha shule X hayupo mwalimu wa Somo hilo
 
Back
Top Bottom