Tamisemi na wizara ya elimu tunaomba mtoe tamko kwa sisi tulio kosa ajira

Tamisemi na wizara ya elimu tunaomba mtoe tamko kwa sisi tulio kosa ajira

Serikali inaajiri kwa idadi na mahitaji. Sasa kama watu wamehenea wakiwaajiri watawaweka wapi? Na kuwalipa nini? Au mnataka kujitolea!

Usingee kitu usichokijuwa wewe kama nani tamisemi
 
rolla;
hapa tupo kwaajili ya sisi wenye shida kama kichwa cha habari mada kinavyo jieleza,sasa kama wewe haikuhusu na kama huwezi tusaidia chochote zaidi yakutukatisha tamaa tafadhali sana kua mstarabu na upite na zako ,kwani hakuna anajua nikwajinsi gani tumeumizwa na jambo hili.
 
Tangu watoe ajira za walimu,kuna wahitimu wengi wavyuo mbalimbali tumekosa ajira mfano mimi chuo chetu korogwe tupo stashahada takribani 195 tumekosa ajira,hutuwezi kulazimisha serikali itupe ajira hapana lakini kwanini wengine wapewe na sisi tunyimwe,au sisi sio watanzania,mtoe tamko juu ya swalahili tujue nivigezo gani mmevitumia katika upangaji wa ajira??

Ili liwafikie vzr TAMISEMI,kwenye neno AJIRA weka WITO

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
rolla
hapa tupo kwaajili ya sisi wenye shida kama kichwa cha habari mada kinavyo jieleza,sasa kama wewe haikuhusu na kama huwezi tusaidia chochote zaidi yakutukatisha tamaa tafadhali sana kua mstarabu na upite na zako ,kwani hakuna anajua nikwajinsi gani tumeumizwa na jambo hili.

Mjikusanye muanzishe hata tuition centres baadae mtamiliki hata shule zenu wenyewe,kulia na TAMISEMI ni utumwa wa fikra

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Acheni kufuru nyie.... kuna watu wanatembea na bahasha miaka na miaka hawana kazi.... wewe mwezi mmoja tuu unaanza kupiga mayowe......:what::what:
 
Acheni kufuru nyie.... kuna watu wanatembea na bahasha miaka na miaka hawana kazi.... wewe mwezi mmoja tuu unaanza kupiga mayowe......:what::what:

Tafadhali ndugu soma hiyo thread yangu kwamakini na uielewe kwanza!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mjikusanye muanzishe hata tuition centres baadae mtamiliki hata shule zenu wenyewe,kulia na TAMISEMI ni utumwa wa fikra

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Sikatai unayo yasema lakini kumbuka huwezi kuanzisha kituo chako binafsi kama huna fedha!!!
 
sasa nyinyi mnaotaka tusilalamike,labda mnataka tufanyeje?
 
Ivi haw wanaotowa kashfa awajuwi kuwa mitandao yakijamii ni source kubwa ya information hapa tz
 
Acheni kufuru nyie.... kuna watu wanatembea na bahasha miaka na miaka hawana kazi.... wewe mwezi mmoja tuu unaanza kupiga mayowe......:what::what:

Kwani wanaotembea na mabahasha si awajuwi kilio chao wanakipeleka wapi kila mtu ana haki yakutoa maoni yake
 
Ndugu hawa ni mapito tu wamepanga kutuvunja moyo,na ukumbuke usemi mwenye shibe hamjui mwenye njaA
 
Ivi haw wanaotowa kashfa awajuwi kuwa mitandao yakijamii ni source kubwa ya information hapa tz

Wasome hiyo thread kwamakini tena waaanze mwanzo sio wanakurupuka kutoa hoja zisizo na msingi wowote!!
 
wazo zuri na ikbid tahehe 1/5/2014 tuwe pale makao makuu dom

Mimi ningependekeza tumtafute mhariri wa gazeti mfano majira,mwananchi ama nipashe wafuatilie swala hili kwanza ili ikishindikana twende huko dom
 
Back
Top Bottom