Tamisemi na wizara ya elimu tunaomba mtoe tamko kwa sisi tulio kosa ajira

Tamisemi na wizara ya elimu tunaomba mtoe tamko kwa sisi tulio kosa ajira

jamani wakuu,hivi kuna aliyeweza kwenda tamisemi baada ya hao sjut dom kuajiriwa?
 
Jaman mshahara mtamuu sana ingawa mdogo ila nimtamu..!

Ila komaeni mpaka kieleweke.
 
Wadau JF mwaonaje tupange siku,ili tukapate hatima yetu tamisemi!

Chamsingi uandaliwe ujumbe utakao tukusanya sote tulio na tatizo hili alafu usambazwe kwa ndugu,jamaa na mrafiki ili ifikapo tarehe hiyo tajwa kila mmoja afanye maandalizi mapema yakuelekea sehemu husika
 
jamani wakuu,hivi kuna aliyeweza kwenda tamisemi baada ya hao sjut dom kuajiriwa?

Kuna jamaa alikwenda katika ofisi zao za pale Dar,akaambiwa wanasubiria hawa waliopangwa waripoti kwanza,waangalie idadi ya watakao ripoti,na ikiwa wote wataripoti hakuna ajira
 
kwhyo chemichemi hyo maanake nini?
Hapo inaonyesha kutokana na idadi yetu maana nasikia wahitimu takribani 3000,hawakupangiwa,
Kuna uwezekano wakupangiwa tena maana kuna watu wamekimbia vituo vyao na wengine hawakwenda kabisa,ila kwaidadi hiyo sidhani kama tutapangiwa wote?!?!?!?!
 
Hapo inaonyesha kutokana na idadi yetu maana nasikia wahitimu takribani 3000,hawakupangiwa,
Kuna uwezekano wakupangiwa tena maana kuna watu wamekimbia vituo vyao na wengine hawakwenda kabisa,ila kwaidadi hiyo sidhani kama tutapangiwa wote?!?!?!?!

Mh mkuu mbona unatisha watu izo data umezitowa wapi
 
AFREEN(AFRICAN EDUCATION EMPOWERMENT NETWORK)
Mamlaka hazisomi Jamii forum.Tafadhari fika ofisi za wausika ili upate ufafanuzi.Usiogope ofisi,zile ni za kwako nawe mwananchi ndo muajiri wetu.
Naongea mi si TAMISEMI ila Mwalimu aliye amua kujiajiri.KARIBU AFREEN tushirikiane.
 
AFREEN(AFRICAN EDUCATION EMPOWERMENT NETWORK)
Mamlaka hazisomi Jamii forum.Tafadhari fika ofisi za wausika ili upate ufafanuzi.Usiogope ofisi,zile ni za kwako nawe mwananchi ndo muajiri wetu.
Naongea mi si TAMISEMI ila Mwalimu aliye amua kujiajiri.KARIBU AFREEN tushirikiane.

Zipo sehemu gani izo offic zenu na sisi tuje.
 
dah!huku mtaani kwetu mpaka wanadiriki kuongea kuwa nimesup jamani,tamisemi please mtuhurumiage jamani
 
dah!huku mtaani kwetu mpaka wanadiriki kuongea kuwa nimesup jamani,tamisemi please mtuhurumiage jamani

Ata mie sulle ujuwe wananiambiaje et nilijidai msomi si bora ningekuwa boda boda kama wao
 
Back
Top Bottom