chemichemi
Senior Member
- Apr 5, 2014
- 116
- 3
- Thread starter
- #81
Bora hata tungekuwa tumeenda jkt kuliko kukaa kitaa,hata jamii inatushangaa kwa jinsi tulivokuwaga busy na kitabu na tumekuwa teachers by professional lakn hatupewi ajira rasmi tuliyoahidiwa na serikali yetu inayojiita "serikali sikivu"
mi naona kilicho baki nikuwaibukia tu,humu naona tumeongea sana mpaka sasa kimya,