Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haswaa..Kwani wanaogopa nini kukiri kuwa sera hii imefeli.
Hivi huenda bado Magufuli anaogopwa eehh.
Aisee... Ana Mzimu mkali sanaa.
Itatuchukua miaka zaid ya 50+kuja kuwa na RaisTujikumbushe
Wakati Wa uwongo ushapita ,kama ulikua hujui basi huo ndio ukweli wenyeweMsibadilishe kauli - sisi tunajua msimamo wa Serikali ilikuwa Elimu BURE hadi kidato cha nne, masuala ya kubadilisha sentensi na kuwa eti Elimu bila Ada sisi halituhusu na hatulitambui.
Mbona hamkuyasema haya wakati marehemu akiwa hai - msituchanganye.
Sasa huoni kwamba CCM wanamgeuka mwendazake hata mwaka haujapita.Wakati Wa uwongo ushapita ,kama ulikua hujui basi huo ndio ukweli wenyewe
Mkuu si kumgeuka wanafanya usaliti.. ila ni sawa tu maana hii ni awam 6.. inabd watu wazoee yaan kunack si mda mrefu ada itawahusu wazazi...Sasa huoni kwamba CCM wanamgeuka mwendazake hata mwaka haujapita.
Kuna sehem hawatoi kabsa michango mfano ushetu huko na ni kweli but kwa hii watu wataacha shule wengi mno ht wenye uwezo mzuri ujueBure inayozungumziwa ni ada lakini kuhusu michango haijawai kukoma hata siku moja sisi tunaosomesha tunalijua hili
Mkuu ccm kazi yao kuchezea akili zetu tuSasa huoni kwamba CCM wanamgeuka mwendazake hata mwaka haujapita.
sio huko tu hata huku kwetu hatutoi mchango wowoteKuna sehem hawatoi kabsa michango mfano ushetu huko na ni kweli but kwa hii watu wataacha shule wengi mno ht wenye uwezo mzuri ujue