Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 6,976
- 7,726
Kama kuna stress mbona hamtoki au hamtaki na sisi tulambe asali kwenye hivyo vibuyu.Alokwambia kuna kulamba asali zaidi ya stress ni nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kuna stress mbona hamtoki au hamtaki na sisi tulambe asali kwenye hivyo vibuyu.Alokwambia kuna kulamba asali zaidi ya stress ni nani?
Uhakika hii?
Karibuni sana hamna asali niaminiKama kuna stress mbona hamtoki au hamtaki na sisi tulambe asali kwenye hivyo vibuyu.
Kusingekuwa hakuna kulamba asali huko basi mngetoka na kuja huku mtaani mpambane na jua la utosi.Karibuni sana hamna asali niamini
Daah nimechoka kufanya kazi masaa 12 na mshahara kiduchu aise Mungu anifanyie wepesiTumechoka kufanya kazi masaa 12 taasisi za watu binafsi naitaji kufanya kazi masaa 8 tu.
Maneno ya mpataji hayo ana kufulu Mungu tu ndio mbongo akipata anavyokuwaKusingekuwa hakuna kulamba asali huko basi mngetoka na kuja huku mtaani mpambane na jua la utosi.
Kabisa mkuu utasikia wanasema huko serikalini sio pazuri wakati hawabanduki.Maneno ya mpataji hayo ana kufulu Mungu tu ndio mbongo akipata anavyokuwa
Kuna nini au mkeka umetoka😂😂😂😂Jamani,jamani
Chuma hkozmetoka,?
HahahahaaaNdondocha mkuu
Unanichonganisha mbona unanedit text zangu
Week ijayo wataanza kufanya verification ya majina ya watu waliochaguliwa, yatapitiwa tena kwa kuangalia vigezo, kwasasa wamemaliza kuchagua watu wao.Watoe chap tujue tunaendelea kukalia mbao ndefu au tunaingia kukiputa
Watu wao?🤭🤭Week ijayo wataanza kufanya verification ya majina ya watu waliochaguliwa, yatapitiwa tena kwa kuangalia vigezo, kwasasa wamemaliza kuchagua watu wao.
Watu wao?🤭🤭
Kuna She kaniambia tayari ila education walioajiriwa ni pungufu ya nafasi walizitoa