Nimeishiwa na nguvu kabsaaHapo kwenye social welfare vita ni kubwa, kuna nyomi la kufa mtu, hiyo inatokana na sifa walizoziweka kuwafit watu wengi sana. Kwenye pdf ya mwaka Jana walioajiriwa kwa nafasi hiyo ni watu 50 tu.
NILIVOISANUKIA HII NAFASINi kweli japo watu wengi wa kozi nyingine hawaku apply kwa kasi upande wa social work kwakua toka mwanzo tangazo lilijipambanua kua ni kada ya afya
Walikuja kusanuka muda umeshapita ila yote kwa yote tuombe Mungu tu
NILIVOISANUKIA HII NAFASI
Kabla hazijatoka , mwanzon huko nilikutana na lecturer wangu mko mwingn ambako ndio home, akaniambia kama unataka kujitolea nend hapo hospital ya rufaa, kuna social welfare department ,nilishangaa maana nilikuw sijui, ila nikapeleka barua hvyo hvyo..
Sasa zilipotoka hizi za afya na elimu mwanzon sikuzitilia mkazo , ila kun day nimekaa nikakumbul why lecturer alinambia nipeleka barua hospital ya rufaa, nikapata wazo ngoja nichek hizi za afya wametoa post kuwahusu akina nan na nan!? Kuja kuchek ndipo nikakutana na Social welfare officer post
Sikuchelewa niliapply hapo hapo
Kuna wadau wengi sana wameshidnwa kuzing'amua pale.
Sociology, social work/protection, psychology, theology, community development and all related community field courses.Zilitaka qualifications zipi ?
Kumbe wanakaa mahosptalini! Nilizani ni hamshauri au kwa ofisi za mkuu wa wilaya.NILIVOISANUKIA HII NAFASI
Kabla hazijatoka , mwanzon huko nilikutana na lecturer wangu mko mwingn ambako ndio home, akaniambia kama unataka kujitolea nend hapo hospital ya rufaa, kuna social welfare department ,nilishangaa maana nilikuw sijui, ila nikapeleka barua hvyo hvyo..
Sasa zilipotoka hizi za afya na elimu mwanzon sikuzitilia mkazo , ila kun day nimekaa nikakumbul why lecturer alinambia nipeleka barua hospital ya rufaa, nikapata wazo ngoja nichek hizi za afya wametoa post kuwahusu akina nan na nan!? Kuja kuchek ndipo nikakutana na Social welfare officer post
Sikuchelewa niliapply hapo hapo
Kuna wadau wengi sana wameshidnwa kuzing'amua pale.
Kote wapo, ila nafaham hosp za rufaa kuna hiko kitengo cha social welfare, kina deal na masuala ya wagongwa about U5yrs, wajawazito na wazee na wale wagonjwa hawana nduguKumbe wanakaa mahosptalini! Nilizani ni hamshauri au kwa ofisi za mkuu wa wilaya.
Sociology, social work/protection, psychology, theology, community development and all related community field courses.
Kiufupi goli lilikuwa wazi sana kwa kila mwananchi raia wa Tanzania.
Unataka kulazimisha sehemu siohivi kazi za social work, watu wa Education si wanaingia mfano:- hizo walizotoa tamisemi? Maana unakuta education vyuoni inakuwa chini ya faculty of humanities/Social sciences na hii mara nyingine ubeba hadi hawa sociology, psychology Community development etc
Tusubiri kila mtu anasema kivyakeWANATOA MAPEMA KUTAKUWA NA ZAIDI YA WIKI 2 MPAKA 3 ZA KUJIANDAA KURIPOTI MAKAZINI......
Upo sahihi mkuu hata mimi kipindi cha nyuma sikua nachunguliaga hawa majamaa wakitoa post zao wengi sana huchukulia haiwahusu.NILIVOISANUKIA HII NAFASI
Kabla hazijatoka , mwanzon huko nilikutana na lecturer wangu mko mwingn ambako ndio home, akaniambia kama unataka kujitolea nend hapo hospital ya rufaa, kuna social welfare department ,nilishangaa maana nilikuw sijui, ila nikapeleka barua hvyo hvyo..
Sasa zilipotoka hizi za afya na elimu mwanzon sikuzitilia mkazo , ila kun day nimekaa nikakumbul why lecturer alinambia nipeleka barua hospital ya rufaa, nikapata wazo ngoja nichek hizi za afya wametoa post kuwahusu akina nan na nan!? Kuja kuchek ndipo nikakutana na Social welfare officer post
Sikuchelewa niliapply hapo hapo
Kuna wadau wengi sana wameshidnwa kuzing'amua pale.
Haya tulieni subirini mwisho wa mweziUpo sahihi mkuu hata mimi kipindi cha nyuma sikua nachunguliaga hawa majamaa wakitoa post zao wengi sana huchukulia haiwahusu.
Naamini haina nyomi sana kama watu wanavyotishia bahati ya kupata ipo 50/50. Kikubwa dua tu
Mkuu..15 june
Mkuu..Mid of June mkuu.
Yes mkuuMkuu..
Ila maajabu duniani hayatoisha. Mwaka jana madaktarivwa meno walikosekana mpaka zile za afya zikawa re-advatised. Ila waalimu wengi walichinjiwa baharini. Wakat shule ni nyingi na wanafunzi kuliko hivyo vituo vya afya, hospitals na wagonjwa wa meno.Imawezekana lakn kuna izi fani za afya lab cjui nurse ,dr pharm md ni bahat tu
Madaktari wana sehem nyingi za kuomba, ngo's, private sectors, wizara ya afya, tamisemi n.k so hizi za tamisemi wengi hawazitoleagi machoIla maajabu duniani hayatoisha. Mwaka jana madaktarivwa meno walikosekana mpaka zile za afya zikawa re-advatised. Ila waalimu wengi walichinjiwa baharini. Wakat shule ni nyingi na wanafunzi kuliko hivyo vituo vya afya, hospitals na wagonjwa wa meno.
Tena hao wa meno wa level ya degree ndio huwapeleki Tamisemi kabisa...wanakuwa na kiburi kwa sababu wapo wachache..labda vyuo vingine vianze kutoa course ya DDS wawe wengi...otherwise wana deal sana mjini na kufungua their centresMadaktari wana sehem nyingi za kuomba, ngo's, private sectors, wizara ya afya, tamisemi n.k so hizi za tamisemi wengi hawazitoleagi macho
Teeyaarr pita juu hapo Kuna pdfNaskia wameshatoa mkeka aisee.. vp kuna ukwl wwte kuhusu taarifa hii