Dallas green
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 1,377
- 2,800
Pdf nadhan till mid of june kuanzia tar 20-25
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwote elimu na afya kutoboa ni bahat tu mzee labda kama una connection kaliUpo afya au elimu mzee
Connction chache, mchaw bahat hapo sadakalawe, ila kwa elimu phtsics uhakika na Afya meno uhakikaKwote elimu na afya kutoboa ni bahat tu mzee labda kama una connection kali
Imawezekana lakn kuna izi fani za afya lab cjui nurse ,dr pharm md ni bahat tuConnction chache, mchaw bahat hapo sadakalawe, ila kwa elimu phtsics uhakika na Afya meno uhakika
Elimu mkuu, wewe?Upo afya au elimu mzee
Mbali sana kivipi? Je una uhakika utakuwemo? Na watu kama nyie mnaishia kuchanganyikiwa kabisa.Mbali sana mzee
Kwani nimesema nimeomba boss hahaha usipaniki mimi sipo huko kwa sasa boss.Mbali sana kivipi? Je una uhakika utakuwemo? Na watu kama nyie mnaishia kuchanganyikiwa kabisa.
Kwani nimesema nimeomba boss hahaha usipaniki mimi sipo huko kwa sasa boss.
Mkuu siwezi kupanic lakini nakuambia tu kuwa haya mambo hatufai kuwa na haraka nayo na tujifanye kama tumesahau huku tukifanya shughuli nyingine za kutukwamua, na ikitokea tumo tumshukuru mungu na kama tukiwemo basi tutamshukuru mungu zaidi.
Mtaripoti tarehe 1/07/2023 makzinikwa bajeti ya mwaka mpya wa fedhaIfahamike kuwa vijana wamekuwa katika kusubiri kwa matumaini kwa muda mrefu tangu 2015.
Si vibaya kama Tamisemi mkatoa ratiba kamili ya ni lini mnatarajia kuachia mkeka wa waliochaguliwa kwenye ajira za walimu na kwenye sekta ya afya!
Majina yatatok linMtaripoti tarehe 1/07/2023 makzinikwa bajeti ya mwaka mpya wa fedha
Hapana mkuu kuwa na amani, mimi ni kama wewe tunasubiri kuingia kwenye system ya samia ili na mimi nikalambe asali.Amina mkuu, umeeleweka sana, sema ulijibu kwa ukali sana mzee nikajua mtu wa shari.
Tumechoka kufanya kazi masaa 12 taasisi za watu binafsi naitaji kufanya kazi masaa 8 tu.Majina yatatok lin
Hahahah sahihi mkuu, upo afya au elimuTumechoka kufanya kazi masaa 12 taasisi za watu binafsi naitaji kufanya kazi masaa 8 tu.
Afya mkuu, nilikuwa sitaki kutoka mjini lakini mwaka huu nikaona ngoja niondoke tu mjini kwa kuomba hizi nafasi nilikuwa sijawahi kuomba toka nimemaliza chuo 2020, japo home na mitaani wanasema kama nikichaguliwa nitapelekwa huko vijijini, kwasasa nipo tyr acha nikapambane hata huko, maadam ni hiki kipindi cha mama yetu hamna shida nahitaji kulamba asali, kwenye hilo buyu la asali.Hahahah sahihi mkuu, upo afya au elimu
Sahihi mkuu,security ya kazi ni muhimu sanaAfya mkuu, nilikuwa sitaki kutoka mjini lakini mwaka huu nikaona ngoja niondoke tu mjini kwa kuomba hizi nafasi nilikuwa sijawahi kuomba toka nimemaliza chuo 2020, japo home na mitaani wanasema kama nikichaguliwa nitapelekwa huko vijijini, kwasasa nipo tyr acha nikapambane hata huko, maadam ni hiki kipindi cha mama yetu hamna shida nahitaji kulamba asali, kwenye hilo buyu la asali.
Uhakika hii?Mchakato wa kuchagua umeshakamilika inasubiriwa tu kupitishwa
Alokwambia kuna kulamba asali zaidi ya stress ni nani?Afya mkuu, nilikuwa sitaki kutoka mjini lakini mwaka huu nikaona ngoja niondoke tu mjini kwa kuomba hizi nafasi nilikuwa sijawahi kuomba toka nimemaliza chuo 2020, japo home na mitaani wanasema kama nikichaguliwa nitapelekwa huko vijijini, kwasasa nipo tyr acha nikapambane hata huko, maadam ni hiki kipindi cha mama yetu hamna shida nahitaji kulamba asali, kwenye hilo buyu la asali.