Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Hapo hapo wanakuambia aliyemaliza mwanzo ndio mwenye kigezo cha kuajiriwa na Kuna watu wamemaliza chuo 2018 kuja chini sasa unabaki unajiuliza wanamdanganya nani ? Yaani wazir mzima unanitisha press na kudanganya umma? Ujinga kabisa .Kweli mkuu co nmeona 19 na 20 ndo wengi