baby s
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 487
- 323
Huo mfumo umeanza sahizi ila kuna tuliomba uhamisho muda mrefu na majina hawayatoi wakipigiwa simu kauli ni moja kua majina yanatoka hivi karibuni lakini miezi inakatika ila watu wakizunguka mgongo wa nyuma wanapewa vibali .Kiukweli inaumiza sanaSijaelewa point yakemaana me najua kwa sasa kuna tovuti ile ya watumishi portal mahususi kwa ajili ya kubadilisha vituo kila kitu online