DOKEZO TAMISEMI tusaidieni, tunakufa njaa kwenye vituo vya kazi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Usimuungize mwenzako mkenge,kituo cha kazi? Kutaja wilaya tu kuna watu wanaweza kuconnect dots
 
Kiufupi kiongozi yeyote ambaye kwenye hotuba zake anamsifia mama, huyo ni kipngozi safi hana mawaa.

Hao wezi wanalindwa na kipengele hiko
 
Mkuu nimeskia baadhi ya maeneo soon shimo Lina tema Kwa mkao wa ku enjoy
 
Hii serikali yetu saa zingine inawataka watu lawama tu. Mbona wanakopa nje kila siku pesa zinaenda wapi kama huku tunawadai kila kitu?

Kila siku wanatangaza kukopeshwa lakini ndani mfumuko wa bei uko juu, mishahara haitoshi, ajira mpya hawalipwi, posho za mawenge.

Tukisema wanatia mifukoni pesa tutakosea?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwenu Bado???? Dogo wangu kanipa mrejesho wameandika barua walipewa maelekezo waambatanishe na tiket za safari deadline ku subimt ilikuwa 1/9 Jana alikosa mwez wa Saba fomu madai amekamilsha
 
Mimi uku chanika nanunua. Dumu sh 500, tulia ww acha kuleta siasa
 
Sasa wewe medical attendant kweli jana nimekuachia pande la labour ulishindwa kuwapiga hata elfu ishirini ?

Mbona lakini vyakula wanakijiji wanatujali watumishi ? Acha kuwatumia meseji makatibu hawapendi na daily wanasema nikukanye wewe tutaendelea kukujari hivyo usijali subiri mpaka halmashauri ikiamua kuwalipa .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…