DOKEZO TAMISEMI tusaidieni, tunakufa njaa kwenye vituo vya kazi

DOKEZO TAMISEMI tusaidieni, tunakufa njaa kwenye vituo vya kazi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kuna halmashauri za kindezi sana,

Kuna halmashauri Dogo flani kaenda,
Kwanza Salary Ya JUNE kapata, Na kwenye usaili waliambiwa Ambaye hatapata Salary Asiende kituoni mpaka waingiziwe,

Amefika kituoni(ni mwalimu) shule Imemlipia kodi ya miezi 3, godoro dogo unapewa ukitaka, na wameripoti wa 3 kituo kimoja wote wamepewa.

Chai, lunch vyote ni shule,

Pesa ya kujikimu Bila shaka mtapewa Mwezi huu, inatofautiana kwa halmashauri, kuna watu wanakula 900k wengine 470k, ni uhuni flani tuu..

Kukosa Salary mara nyingi ni Makosa ya ma afisa utumishi kuchelewa kutuma taarifa, HIO ndio sbb kubwa.

Dogo Pole na vumilia, hii ndio iwe chachu ya kwenda kufanya kazi kwa malengo..
Usiwaze kufia kazini, Usilitoe hilo akilini kama itakufaa.
 
Ila ni kama vile una asili ya ulalamishi sana na gubu,aisee serikalini utachokwa haraka usifanye hivyo.Tumia ngazi sahihi kueleza changamoto yako.Mf kama huridhishwi na maelezo ya afisa utumishi basi ongea na DHRO, kama huelewi rudi kwa bosi kuu wa idara yako kwanza ili labda aongee na bosi mwenzie DHRO labda utasaidika.Ukishindwa nenda kwa mkurugenzi ded/md kulingana na halmashauri ulipo.Pia eleza kwa staha changamoto za huko kulala chini ili waone namna gani huenda kuna viposho utasaidiwa wakati wanajipanga na mwaka mpya wa fedha.Jaribu hivyo kuliko kukimbilia media.
Huu ni ushauri wa kipumbavu sana nikama unajaribu kumfundisha woga matatizo ya mtu isiwe fimbo ya kumnyanyasa kwani pesa za kujikimu ni hakiyake ...hizo garama za kuwazungukia hao wote utamchangia wote si bora ameleta hpa atajua pakuqnzia au wadau tutansaidia kwa chochote .... a cha mawazo ya kimasikini
 
Elewa hali aanyopitia huyu dogo, elewa hatua alizochukua pia, Kwa ufupi amepambana ila kakwamishwa.



Afanye kazi na njaa?



Lile ni jambo jingine, na hili ni jingine.



Ujuaji gani hapo?



Bichwa kama fenesi



Tumbo kama papai
Rubish.

Big Up kwa wote mliompa dogo mawazo na kumtia moyo..

Jf inawezekana bila mataahira kama hili moesy
Hapa ndiyo atapata haki yake?
 
Mkuu hii hali ikikukuta usiombe, hadi amefikia kuandika humu itakuwa hizo ngazi hapati majibu ya kuridhosha. Serikali haidhulumu italipa japo si kwa wakati. Nakushauri andika barua kwa boss wako ukapumzike kwenu hadi utakapopewa hiyo stahiki au mshahara akikukatalia basi yeye abebe jukumu la kukutunza. Kazi siyo mateso
[emoji120]

Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
 
Huu ni ushauri wa kipumbavu sana nikama unajaribu kumfundisha woga matatizo ya mtu isiwe fimbo ya kumnyanyasa kwani pesa za kujikimu ni hakiyake ...hizo garama za kuwazungukia hao wote utamchangia wote si bora ameleta hpa atajua pakuqnzia au wadau tutansaidia kwa chochote .... a cha mawazo ya kimasikini
[emoji17]

Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
 
Kuna halmashauri za kindezi sana,

Kuna halmashauri Dogo flani kaenda,
Kwanza Salary Ya JUNE kapata, Na kwenye usaili waliambiwa Ambaye hatapata Salary Asiende kituoni mpaka waingiziwe,

Amefika kituoni(ni mwalimu) shule Imemlipia kodi ya miezi 3, godoro dogo unapewa ukitaka, na wameripoti wa 3 kituo kimoja wote wamepewa.

Chai, lunch vyote ni shule,

Pesa ya kujikimu Bila shaka mtapewa Mwezi huu, inatofautiana kwa halmashauri, kuna watu wanakula 900k wengine 470k, ni uhuni flani tuu..

Kukosa Salary mara nyingi ni Makosa ya ma afisa utumishi kuchelewa kutuma taarifa, HIO ndio sbb kubwa.

Dogo Pole na vumilia, hii ndio iwe chachu ya kwenda kufanya kazi kwa malengo..
Usiwaze kufia kazini, Usilitoe hilo akilini kama itakufaa.
Wanafany kazi bila stress yan [emoji17]

Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
 
Elewa hali aanyopitia huyu dogo, elewa hatua alizochukua pia, Kwa ufupi amepambana ila kakwamishwa.



Afanye kazi na njaa?



Lile ni jambo jingine, na hili ni jingine.



Ujuaji gani hapo?



Bichwa kama fenesi



Tumbo kama papai
Rubish.

Big Up kwa wote mliompa dogo mawazo na kumtia moyo..

Jf inawezekana bila mataahira kama hili moesy
Kuna watu awaelew mkuu,
But hii ishu sijisaidii mm tu ata ndug zao nawasaidia.

ATA YESU ALIDHIHAKIWA.

Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
 
Kuna halmashauri za kindezi sana,

Kuna halmashauri Dogo flani kaenda,
Kwanza Salary Ya JUNE kapata, Na kwenye usaili waliambiwa Ambaye hatapata Salary Asiende kituoni mpaka waingiziwe,

Amefika kituoni(ni mwalimu) shule Imemlipia kodi ya miezi 3, godoro dogo unapewa ukitaka, na wameripoti wa 3 kituo kimoja wote wamepewa.

Chai, lunch vyote ni shule,

Pesa ya kujikimu Bila shaka mtapewa Mwezi huu, inatofautiana kwa halmashauri, kuna watu wanakula 900k wengine 470k, ni uhuni flani tuu..

Kukosa Salary mara nyingi ni Makosa ya ma afisa utumishi kuchelewa kutuma taarifa, HIO ndio sbb kubwa.

Dogo Pole na vumilia, hii ndio iwe chachu ya kwenda kufanya kazi kwa malengo..
Usiwaze kufia kazini, Usilitoe hilo akilini kama itakufaa.
Asante mkuu NOTED.

Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hii hali ikikukuta usiombe, hadi amefikia kuandika humu itakuwa hizo ngazi hapati majibu ya kuridhosha. Serikali haidhulumu italipa japo si kwa wakati. Nakushauri andika barua kwa boss wako ukapumzike kwenu hadi utakapopewa hiyo stahiki au mshahara akikukatalia basi yeye abebe jukumu la kukutunza. Kazi siyo mateso
[emoji120]

Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu wadau.

Bila shaka mpo poa aisee, mimi sitochoka kuongea tafadhari ebu wizara husika kupitia vyombo kama PCCB piteni kwenye ma halmashauri ya wilaya mkague pesa za kujikimu.

Tunapitia mazingira magumu jamani toka tulivyoripoti makazini binafsi hata sh.100 sijapewa. Hata ule msaada kutoka tu kwa mkuu wangu wa kituo cha kazi nimeomba sijapata nimejarbu kupiga simu na kutuma sms kwa mkuu wa kazi ngazi ya wilaya na kupiga simu na kutuma sms kwa katibu sijibiwi lolote.

Naishi mazingira magumu nalala chini nipo kwenye wilaya yenye baridi 24 hrs hebu, fikiri halafu nalala kwenye sakafu ambayo natandika shuka moja jingine najifunika.

Dumu moja la maji ni sh.600 hapo sijazungumzia chakula n.k

Nimeshakula sana kwa staff wenzangu hadi naona aibu sasa.

Najua nitaonekana muongeaji sana lakini ngoja niongee huenda nikawasaidia wengine walioshindwa ongea.

Jamani tusaidieni tupate pesa ya kujikimu tena iwe yote kwa pamoja maana nimesikia hii wilaya wanatoaga mara 100,000/= mara sh. Kadhaa mwisho wa siku wanaishia njiani hawajakamilisha hiyo pesa.

Kwa ufupi upande wangu naishi maisha magumu sana hata nashindwa kuelezea yote kwa ujumla.

NAJUA HUMU MPO MPAKA VIONGOZI TUSAIDIENI JAMAN.... [emoji120]🥹
Hufai kuwa mfanya kazi wa serikali, una mdomo sana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Pole sana, hakuna maisha magumu kama kuishi bila pesa ugenini na huna uhakika wa kuzipata, huku walijikusanya wakaenda Mkoani kusema kwa RAS, kipindi hicho MADED walikuwa wana ziara yao ya ALAT Nzanzibar. RAS aliagiza waende MADED ambao wamelipa posho za kujikimu walimu wapya katika Halmashauri zao tuu, mbona walilipa.
 
Habari zenu wadau.

Bila shaka mpo poa aisee, mimi sitochoka kuongea tafadhari ebu wizara husika kupitia vyombo kama PCCB piteni kwenye ma halmashauri ya wilaya mkague pesa za kujikimu.

Tunapitia mazingira magumu jamani toka tulivyoripoti makazini binafsi hata sh.100 sijapewa. Hata ule msaada kutoka tu kwa mkuu wangu wa kituo cha kazi nimeomba sijapata nimejarbu kupiga simu na kutuma sms kwa mkuu wa kazi ngazi ya wilaya na kupiga simu na kutuma sms kwa katibu sijibiwi lolote.

Naishi mazingira magumu nalala chini nipo kwenye wilaya yenye baridi 24 hrs hebu, fikiri halafu nalala kwenye sakafu ambayo natandika shuka moja jingine najifunika.

Dumu moja la maji ni sh.600 hapo sijazungumzia chakula n.k

Nimeshakula sana kwa staff wenzangu hadi naona aibu sasa.

Najua nitaonekana muongeaji sana lakini ngoja niongee huenda nikawasaidia wengine walioshindwa ongea.

Jamani tusaidieni tupate pesa ya kujikimu tena iwe yote kwa pamoja maana nimesikia hii wilaya wanatoaga mara 100,000/= mara sh. Kadhaa mwisho wa siku wanaishia njiani hawajakamilisha hiyo pesa.

Kwa ufupi upande wangu naishi maisha magumu sana hata nashindwa kuelezea yote kwa ujumla.

NAJUA HUMU MPO MPAKA VIONGOZI TUSAIDIENI JAMAN.... [emoji120]🥹
Acha kulia kulia.

Wakati hujapata kazi ulikuwa unalalamika upate kazi, umepata kazi bado tena malalamiko.

WAKATI HUJAPATA KAZI ULIKUWA UNAISHIJE.

KWA UFUPI,

Tulia tu hiyo ngoma inaweza kaa hata miezi miwili bila bila.

Jambo la msingi, waambie ndugu zako wakutumia angalau laki 5 uanzie hapo wakati unasubiria huruma za gvt.

Kelele hizi msaada wake ni mdogo sana
 
Back
Top Bottom