DOKEZO TAMISEMI tusaidieni, tunakufa njaa kwenye vituo vya kazi

DOKEZO TAMISEMI tusaidieni, tunakufa njaa kwenye vituo vya kazi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Pole sana, hakuna maisha magumu kama kuishi bila pesa ugenini na huna uhakika wa kuzipata, huku walijikusanya wakaenda Mkoani kusema kwa RAS, kipindi hicho MADED walikuwa wana ziara yao ya ALAT Nzanzibar. RAS aliagiza waende MADED ambao wamelipa posho za kujikimu walimu wapya katika Halmashauri zao tuu, mbona walilipa.
Mmmmh iyo nzuri.

Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
 
Usiende inbox na mtu tafadhari kwa usalama wako.
Habari zenu wadau.

Bila shaka mpo poa aisee, mimi sitochoka kuongea tafadhari ebu wizara husika kupitia vyombo kama PCCB piteni kwenye ma halmashauri ya wilaya mkague pesa za kujikimu.

Tunapitia mazingira magumu jamani toka tulivyoripoti makazini binafsi hata sh.100 sijapewa. Hata ule msaada kutoka tu kwa mkuu wangu wa kituo cha kazi nimeomba sijapata nimejarbu kupiga simu na kutuma sms kwa mkuu wa kazi ngazi ya wilaya na kupiga simu na kutuma sms kwa katibu sijibiwi lolote.

Naishi mazingira magumu nalala chini nipo kwenye wilaya yenye baridi 24 hrs hebu, fikiri halafu nalala kwenye sakafu ambayo natandika shuka moja jingine najifunika.

Dumu moja la maji ni sh.600 hapo sijazungumzia chakula n.k

Nimeshakula sana kwa staff wenzangu hadi naona aibu sasa.

Najua nitaonekana muongeaji sana lakini ngoja niongee huenda nikawasaidia wengine walioshindwa ongea.

Jamani tusaidieni tupate pesa ya kujikimu tena iwe yote kwa pamoja maana nimesikia hii wilaya wanatoaga mara 100,000/= mara sh. Kadhaa mwisho wa siku wanaishia njiani hawajakamilisha hiyo pesa.

Kwa ufupi upande wangu naishi maisha magumu sana hata nashindwa kuelezea yote kwa ujumla.

NAJUA HUMU MPO MPAKA VIONGOZI TUSAIDIENI JAMAN....
emoji120.png
🥹
[/QU
Habari zenu wadau.

Bila shaka mpo poa aisee, mimi sitochoka kuongea tafadhari ebu wizara husika kupitia vyombo kama PCCB piteni kwenye ma halmashauri ya wilaya mkague pesa za kujikimu.

Tunapitia mazingira magumu jamani toka tulivyoripoti makazini binafsi hata sh.100 sijapewa. Hata ule msaada kutoka tu kwa mkuu wangu wa kituo cha kazi nimeomba sijapata nimejarbu kupiga simu na kutuma sms kwa mkuu wa kazi ngazi ya wilaya na kupiga simu na kutuma sms kwa katibu sijibiwi lolote.

Naishi mazingira magumu nalala chini nipo kwenye wilaya yenye baridi 24 hrs hebu, fikiri halafu nalala kwenye sakafu ambayo natandika shuka moja jingine najifunika.

Dumu moja la maji ni sh.600 hapo sijazungumzia chakula n.k

Nimeshakula sana kwa staff wenzangu hadi naona aibu sasa.

Najua nitaonekana muongeaji sana lakini ngoja niongee huenda nikawasaidia wengine walioshindwa ongea.

Jamani tusaidieni tupate pesa ya kujikimu tena iwe yote kwa pamoja maana nimesikia hii wilaya wanatoaga mara 100,000/= mara sh. Kadhaa mwisho wa siku wanaishia njiani hawajakamilisha hiyo pesa.

Kwa ufupi upande wangu naishi maisha magumu sana hata nashindwa kuelezea yote kwa ujumla.

NAJUA HUMU MPO MPAKA VIONGOZI TUSAIDIENI JAMAN.... [emoji120]🥹
Usiende na mtu Inbox tafadhari sana kwa usalama wako na hicho kibarua chako.
 
Habar watu wote.
Bila shaka mpo salama, kama ilivokuwa mwanzo leo naja kuleta mrejesho na kushukuru pia.

Shukrani zangu za dhati kwenu nyote. Bila kusahau shukran za dhati na za upendo kwa @ TANZANITE, Rembwe kuna namna MUNGU amewatumia ili muweze kunivusha.

Sio kwamba wengine amna nafasi apana mnayo nafasi kubwa sana maana kila mtu alie comment aliongeza kitu na kunifanya nizidi kuwa imara.

Si haba tunaishi japo sio kilakitu kilienda sawa.

"KUNA WAKATI MUNGU SIYO LAZIMA ASHUSHE MALAIKA KWA AJILI YA KUKUSAIDIA JAMBO GUMU MUDA MWINGINE UWEZA ATA KUWATUMIA BINADAMU AMBAO TUNAHISI WANA ROHO MBAYA WAKAVISHWA UMALAIKA KWA AJILI YA KUKUSAIDIA".

[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]


Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
 
Habar watu wote.
Bila shaka mpo salama, kama ilivokuwa mwanzo leo naja kuleta mrejesho na kushukuru pia.

Shukrani zangu za dhati kwenu nyote. Bila kusahau shukran za dhati na za upendo kwa @ TANZANITE, Rembwe kuna namna MUNGU amewatumia ili muweze kunivusha.

Sio kwamba wengine amna nafasi apana mnayo nafasi kubwa sana maana kila mtu alie comment aliongeza kitu na kunifanya nizidi kuwa imara.

Si haba tunaishi japo sio kilakitu kilienda sawa.

"KUNA WAKATI MUNGU SIYO LAZIMA ASHUSHE MALAIKA KWA AJILI YA KUKUSAIDIA JAMBO GUMU MUDA MWINGINE UWEZA ATA KUWATUMIA BINADAMU AMBAO TUNAHISI WANA ROHO MBAYA WAKAVISHWA UMALAIKA KWA AJILI YA KUKUSAIDIA".

[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]View attachment 2715856View attachment 2715857

Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
Wame walipa mkuu?
 
Habar watu wote.
Bila shaka mpo salama, kama ilivokuwa mwanzo leo naja kuleta mrejesho na kushukuru pia.

Shukrani zangu za dhati kwenu nyote. Bila kusahau shukran za dhati na za upendo kwa @ TANZANITE, Rembwe kuna namna MUNGU amewatumia ili muweze kunivusha.

Sio kwamba wengine amna nafasi apana mnayo nafasi kubwa sana maana kila mtu alie comment aliongeza kitu na kunifanya nizidi kuwa imara.

Si haba tunaishi japo sio kilakitu kilienda sawa.

"KUNA WAKATI MUNGU SIYO LAZIMA ASHUSHE MALAIKA KWA AJILI YA KUKUSAIDIA JAMBO GUMU MUDA MWINGINE UWEZA ATA KUWATUMIA BINADAMU AMBAO TUNAHISI WANA ROHO MBAYA WAKAVISHWA UMALAIKA KWA AJILI YA KUKUSAIDIA".

[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]View attachment 2715856View attachment 2715857

Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
Na marafiki zako Halmashauri zingine wamelipwa?
 
Mungu ni mwema mkuu,
Walilikumbuka hilo.
Uyo ambae ajapaya salary mwambie amwage wino kuomba salar ya mwez ambao ajapat ili wakiingiza waingize miezi yote bila hvo awezi pata kirahisi

Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
Yes Kila kitu fresh now Cheque number alichelewa pata wameweka fresh watafidia mwez huuu na hizo kujikimu
 
Back
Top Bottom