DOKEZO TAMISEMI tusaidieni, tunakufa njaa kwenye vituo vya kazi

DOKEZO TAMISEMI tusaidieni, tunakufa njaa kwenye vituo vya kazi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Punguza ujuwaji bwan mdogo, unazani wewe ndiye wa kwanza kuajiriwa huko halmashauri? Kaa kimya.
Mtu kutaka apewe haki yake ya msingi nako ni ujuaji? Kuna watu akili zenu zimekaa kimasikini tu ndio maana hata hao watawala wanafanya wanavyotaka wakijua kuna mazezeta yatakuja kuwatetea.
Hela ya kujikimu sio hisani ni haki ya mtumishi NDIO maana imeitws ya kujikimu kabla hajaingia kwenye payroll. Sasa unapokuja kumpa siku unayojisikia wewe anajikimu kitu gani sasa? Halimashauri zinatakiwa kutenga fedha hiyo na kuweka tayar pale siku wanapopelekewa idadi ya watumishi, Ila kwa hawa Wakurugenzi wa CCM hawawezi kuhangaika na hilo kwani wanajua watumishi wenyewe hawajijui na ukiwatisha kidogo tu wanafyata.
 
Mie nikushauri tu nenda kakomae na mkurugenzi pale oficin kwake mpka akupe hela yankujikimu ila usianze kuogopa vitisho vyao unadai haki na haki utaipata Tu ila inabidi uitafute sasa, utakuja nishukuru baadae [emoji854]

Uwe tayari kwa lolote
 
Mtu kutaka apewe haki yake ya msingi nako ni ujuaji? Kuna watu akili zenu zimekaa kimasikini tu ndio maana hata hao watawala wanafanya wanavyotaka wakijua kuna mazezeta yatakuja kuwatetea.
Hela ya kujikimu sio hisani ni haki ya mtumishi NDIO maana imeitws ya kujikimu kabla hajaingia kwenye payroll. Sasa unapokuja kumpa siku unayojisikia wewe anajikimu kitu gani sasa? Halimashauri zinatakiwa kutenga fedha hiyo na kuweka tayar pale siku wanapopelekewa idadi ya watumishi, Ila kwa hawa Wakurugenzi wa CCM hawawezi kuhangaika na hilo kwani wanajua watumishi wenyewe hawajijui na ukiwatisha kidogo tu wanafyata.
Naweza tunza ukoo wenu mzima,kula asubuhi hadi jioni(chakula bora),kuvaa,kusafiri upendavyo kwa miaka 50.
 
Usicheke mkuu ILA CHEKA SANA KAMA AYAJAKUKUTA USIONBE YAKUKUTE LAZIMA UTASIMULIA..toka nilivyo kula usiku sijala tena naratiba ya kula usiku to usiku tu.🥹 Sio poa.

Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
Pole ndugu, maadamu umeshataja hiyo halmashauri, ninahakika wenye mamlaka watashughulika

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Naweza tunza ukoo wenu mzima,kula asubuhi hadi jioni(chakula bora),kuvaa,kusafiri upendavyo kwa miaka 50.
Umeshindwa kutunza akili yako binafsi utaweza hata kutunza kalamu yangu ninayoandikia? Unafikiri Wakurugenzi wanaendeleaje kuiba kama sio uwepo wa punguani wengi mtaani wasiopenda kuhoji ila wapo kuitikia tu kila kitu kama wewe na hata ukikaa nao ukihoji woga unawapata wao.
 
Mtu kutaka apewe haki yake ya msingi nako ni ujuaji? Kuna watu akili zenu zimekaa kimasikini tu ndio maana hata hao watawala wanafanya wanavyotaka wakijua kuna mazezeta yatakuja kuwatetea.
Hela ya kujikimu sio hisani ni haki ya mtumishi NDIO maana imeitws ya kujikimu kabla hajaingia kwenye payroll. Sasa unapokuja kumpa siku unayojisikia wewe anajikimu kitu gani sasa? Halimashauri zinatakiwa kutenga fedha hiyo na kuweka tayar pale siku wanapopelekewa idadi ya watumishi, Ila kwa hawa Wakurugenzi wa CCM hawawezi kuhangaika na hilo kwani wanajua watumishi wenyewe hawajijui na ukiwatisha kidogo tu wanafyata.
Ni shida mkuu, yani......🥹🥹 Ngoja ninyamaze make nisha tishwa.

Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
 
Mie nikushauri tu nenda kakomae na mkurugenzi pale oficin kwake mpka akupe hela yankujikimu ila usianze kuogopa vitisho vyao unadai haki na haki utaipata Tu ila inabidi uitafute sasa, utakuja nishukuru baadae [emoji854]

Uwe tayari kwa lolote
Niwe tayar kwa lolote siyo " sawa mkuu kuna namna nimekuelewa"

Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
 
Ni shida mkuu, yani......🥹🥹 Ngoja ninyamaze make nisha tishwa.

Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
Usitishwe na mpumbavu, Mimi nishawahi kuajiriwa kwenye Ajira zao zilizokosa staha na wapojaribu kuninyamazsha waliniita wenyewe kuniomba msamaha, ukishakuwa muoga tu watakuona mbuzi tu. Mimi nilimuambia mkurugenzi wao kabisa kuwa hapa nataka haki yangu na kama haipo basi wewe ndio uwe na adabu na sio mimi, unachonizidi ni ukada tu na kujipendekeza kwa aliyekuteua
 
Back
Top Bottom