DOKEZO TAMISEMI tusaidieni, tunakufa njaa kwenye vituo vya kazi

DOKEZO TAMISEMI tusaidieni, tunakufa njaa kwenye vituo vya kazi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Habari zenu wadau.

Bila shaka mpo poa aisee, mimi sitochoka kuongea tafadhari ebu wizara husika kupitia vyombo kama PCCB piteni kwenye ma halmashauri ya wilaya mkague pesa za kujikimu.

Tunapitia mazingira magumu jamani toka tulivyoripoti makazini binafsi hata sh.100 sijapewa. Hata ule msaada kutoka tu kwa mkuu wangu wa kituo cha kazi nimeomba sijapata nimejarbu kupiga simu na kutuma sms kwa mkuu wa kazi ngazi ya wilaya na kupiga simu na kutuma sms kwa katibu sijibiwi lolote.

Naishi mazingira magumu nalala chini nipo kwenye wilaya yenye baridi 24 hrs hebu, fikiri halafu nalala kwenye sakafu ambayo natandika shuka moja jingine najifunika.

Dumu moja la maji ni sh.600 hapo sijazungumzia chakula n.k

Nimeshakula sana kwa staff wenzangu hadi naona aibu sasa.

Najua nitaonekana muongeaji sana lakini ngoja niongee huenda nikawasaidia wengine walioshindwa ongea.

Jamani tusaidieni tupate pesa ya kujikimu tena iwe yote kwa pamoja maana nimesikia hii wilaya wanatoaga mara 100,000/= mara sh. Kadhaa mwisho wa siku wanaishia njiani hawajakamilisha hiyo pesa.

Kwa ufupi upande wangu naishi maisha magumu sana hata nashindwa kuelezea yote kwa ujumla.

NAJUA HUMU MPO MPAKA VIONGOZI TUSAIDIENI JAMAN.... [emoji120]🥹


Itoshe tu kusema hii dunia ina watu wana roho mbaya sana, hata Mkuu wa kazi au Idara anashindwa kukusitiri?
 
Poleni sana vijana halafu anatokea mtu anakuambia anashukuru serikali ya CCM.
Watu wanakosa stahiki zao hata nguvu ya kufanya kazi /kunyanduana zimepotea kabisa.
Poleni sana.
 
Poleni sana vijana halafu anatokea mtu anakuambia anashukuru serikali ya CCM.
Watu wanakosa stahiki zao hata nguvu ya kufanya kazi /kunyanduana zimepotea kabisa.
Poleni sana.
Ata kunyanduan nawaza sasa nmebakiza nguvu za kikojolea tu naana hormon ya unyanduz isipo pata chakula ikawa na stres ufnyi kitu

Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
 
Habari zenu wadau.

Bila shaka mpo poa aisee, mimi sitochoka kuongea tafadhari ebu wizara husika kupitia vyombo kama PCCB piteni kwenye ma halmashauri ya wilaya mkague pesa za kujikimu.

Tunapitia mazingira magumu jamani toka tulivyoripoti makazini binafsi hata sh.100 sijapewa. Hata ule msaada kutoka tu kwa mkuu wangu wa kituo cha kazi nimeomba sijapata nimejarbu kupiga simu na kutuma sms kwa mkuu wa kazi ngazi ya wilaya na kupiga simu na kutuma sms kwa katibu sijibiwi lolote.

Naishi mazingira magumu nalala chini nipo kwenye wilaya yenye baridi 24 hrs hebu, fikiri halafu nalala kwenye sakafu ambayo natandika shuka moja jingine najifunika.

Dumu moja la maji ni sh.600 hapo sijazungumzia chakula n.k

Nimeshakula sana kwa staff wenzangu hadi naona aibu sasa.

Najua nitaonekana muongeaji sana lakini ngoja niongee huenda nikawasaidia wengine walioshindwa ongea.

Jamani tusaidieni tupate pesa ya kujikimu tena iwe yote kwa pamoja maana nimesikia hii wilaya wanatoaga mara 100,000/= mara sh. Kadhaa mwisho wa siku wanaishia njiani hawajakamilisha hiyo pesa.

Kwa ufupi upande wangu naishi maisha magumu sana hata nashindwa kuelezea yote kwa ujumla.

NAJUA HUMU MPO MPAKA VIONGOZI TUSAIDIENI JAMAN.... [emoji120]🥹
Utaratibu wa kazi unatakiwa kuona mshahara kwanza umesoma ndo uanze kazi.

Nchii hii ukikaa vibaya unaweza kujikuta umepoteza ubingwa. 😂😂
 
Kwa Halmashauri Jambo la msingi ni kujaribu kupambana uwekwe mapema kwenye payroll uanze kupata Mshahara.

Pesa ya kujikimu ni probability. Unaweza kupewa au usipewe.
Anapambana vipi awekwe kwenye payroll wakati ashakamilisha procedure zote?
 
Shukran sana

Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
Pesa ya kujikimu za Halmashauri hulipwa kwa kutumia vifungu vya OC kutoka kwenye mapato binafsi ya Halmashauri.

Na hiyo OC kila mmoja huwa anaangalia hapo hapo.

Jaribu kuulizia Kama wenzenu huko nyuma walipewa, maana kuna Halmashauri watu tangu waajiriwe miaka 20 Bado wanadai.
 
Pesa ya kujikimu za Halmashauri hulipwa kwa kutumia vifungu vya OC kutoka kwenye mapato binafsi ya Halmashauri.

Na hiyo OC kila mmoja huwa anaangalia hapo hapo.

Jaribu kuulizia Kama wenzenu huko nyuma walipewa, maana kuna Halmashauri watu tangu waajiriwe miaka 20 Bado wanadai.
Wenzetu waliotangulia walioewa japo kwa hawamu hawamu na azikumakizwa zote. NIMENUKUU WALIVYO SEMA.

Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
 
Pesa ya kujikimu za Halmashauri hulipwa kwa kutumia vifungu vya OC kutoka kwenye mapato binafsi ya Halmashauri.

Na hiyo OC kila mmoja huwa anaangalia hapo hapo.

Jaribu kuulizia Kama wenzenu huko nyuma walipewa, maana kuna Halmashauri watu tangu waajiriwe miaka 20 Bado wanadai.
Wanapewa mkuu. Nakumbuka mwaka jana walipewa halafu ikaibuka scandal kuwa baadhi ya halmashauri walilipa kidogo.
 
Habari zenu wadau.

Bila shaka mpo poa aisee, mimi sitochoka kuongea tafadhari ebu wizara husika kupitia vyombo kama PCCB piteni kwenye ma halmashauri ya wilaya mkague pesa za kujikimu.

Tunapitia mazingira magumu jamani toka tulivyoripoti makazini binafsi hata sh.100 sijapewa. Hata ule msaada kutoka tu kwa mkuu wangu wa kituo cha kazi nimeomba sijapata nimejarbu kupiga simu na kutuma sms kwa mkuu wa kazi ngazi ya wilaya na kupiga simu na kutuma sms kwa katibu sijibiwi lolote.

Naishi mazingira magumu nalala chini nipo kwenye wilaya yenye baridi 24 hrs hebu, fikiri halafu nalala kwenye sakafu ambayo natandika shuka moja jingine najifunika.

Dumu moja la maji ni sh.600 hapo sijazungumzia chakula n.k

Nimeshakula sana kwa staff wenzangu hadi naona aibu sasa.

Najua nitaonekana muongeaji sana lakini ngoja niongee huenda nikawasaidia wengine walioshindwa ongea.

Jamani tusaidieni tupate pesa ya kujikimu tena iwe yote kwa pamoja maana nimesikia hii wilaya wanatoaga mara 100,000/= mara sh. Kadhaa mwisho wa siku wanaishia njiani hawajakamilisha hiyo pesa.

Kwa ufupi upande wangu naishi maisha magumu sana hata nashindwa kuelezea yote kwa ujumla.

NAJUA HUMU MPO MPAKA VIONGOZI TUSAIDIENI JAMAN.... [emoji120]🥹
Una Anza kulia Lia mapema sana utatoboa kweli wewe? Komaa hizo ndio ajira za serikali ya Tanzania msoto ni mwingi sana
 
Back
Top Bottom