Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atujapata sasa.TAMISEMI ilishatuma fedha za kujikimu kwa maDED kwa councils zote kulingana na idadi ya watu.
Ni kawaida mkuu at ww ukipata kitu unachotaka lazima ufurahPole teacher!
Ila ulisherekea mno wakati unaona jina kwenye mkeka!!!
Bado mkuuPoleni . Pesa za bandari hazijafika huko bado ?
Asante mkuu.Pole sana. Ila hii awamu naona ni ya upigaji baba!....tafuta option nyingine ya kupata pesa.
Ko kila anae ajiliwa na tamisem ni mwl.Sasa mbona umetoa bandiko hapa mkuu?
[emoji2955]Duuh umaskini ni mbaya sana.
Nauchukia umaskini
Uku kwetu tulikokomaliwa tufike kituo ya kazKama ulishariport kwa Nini usingerudi nyumban hadi wakuwekee Hela ya kujikimu...huoni unajitesa Bure?wengine waliambiwa wakae mpk wawekewe Hela ya kujikimu...na huo utaratibu unaeleweka
Asante mkuuVumilia kijana. Muda si mrefu kutambazuka.
Umesema unalala chini, zilitoka nafasi za afya na elimu na pesa ya kujikimu imeshatumwa, nijuavyo kwa upande wa afya kuna own source, ongea na mkuu wa kituo au DMO akukopeshe mkuu maana kuna kamati za afya wataelewa somo
Omba ruhusa ya 14 days zikiisha unapiga cm unauguza hata ndugu ambaye alishakufa, July hii uhakika mnapata mishahara wote pamoja na fedha za kujikimu
Nafikir inawezekana pia nilijipa matumaini wenda ningepata msaada toka kwenye kituo changu cha kaz lakin aikuwa hivyo.Hivi kwa nini usisubiri mchongo ukianza kusoma ndio uripoti.
Au huu utaratibu hauwezekani!?
ILa mkuu kama ni mtumishi wa umma badilika uandishi wako = hatujapata utakuja kuandika barua serious kwenda hata kwa KM TAMISEMI ukaandika kiswahili cha kihuni wanaweza kukuchukulia hatua za kinidhamu. ni ushauri lakini
Ungekaa siku mbili uondoke tu due huna Hela ya kujikimu na kama ulishatuma payroll hakuna wa kuwez kukuachisha kazi
Nenda kamuone DED mwenyewe mweleze shida yako, kuna namba za cm za Mganga Mfawidhi, DMO, DED/ RMO/TAMISEMINafikir inawezekana pia nilijipa matumaini wenda ningepata msaada toka kwenye kituo changu cha kaz lakin aikuwa hivyo.
Ndo ikabdi nianze kufatilia wilayan lakin napo akuna lolote.
Vyeo vinafanya watu wanajusahau sana mkuu.
Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
Benja netanya: ayo yote nimefanya DMO,KATIBU,MKUU WANGU WA KAZI KATIKA KITUO lakin amna action yyte na ndo maana nkasema hadi kuja apa JAMII jua niko ukingoni.Umesema unalala chini, zilitoka nafasi za afya na elimu na pesa ya kujikimu imeshatumwa, nijuavyo kwa upande wa afya kuna own source, ongea na mkuu wa kituo au DMO akukopeshe mkuu maana kuna kamati za afya wataelewa somo
Asante wenda njaa ina leta wrong type.ILa mkuu kama ni mtumishi wa umma badilika uandishi wako = hatujapata utakuja kuandika barua serious kwenda hata kwa KM TAMISEMI ukaandika kiswahili cha kihuni wanaweza kukuchukulia hatua za kinidhamu. ni ushauri lakini
Tafuta no za RAS au RC mtumie ujumbe andika kiswahili fasaha acha kiswahili chako cha kihuni, achana na Katibu wa Afya andika kwa RAS/RC/KM TAMISEMI/AFYA/ au Waziri husika tuma ujumbe RAS atampigia DED na DED atamuita DMO haraka snBenja netanya: ayo yote nimefanya DMO,KATIBU,MKUU WANGU WA KAZI KATIKA KITUO lakin amna action yyte na ndo maana nkasema hadi kuja apa JAMII jua niko ukingoni.
Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
Kama huna msaada wa kumpa kaa kimya.Kwa kiswahili hiki kweli unaenda kufundisha kitu mkuu watoto watafaulu? nakuzidi hata mimi mtu wa sayansi asee