DOKEZO TAMISEMI tusaidieni, tunakufa njaa kwenye vituo vya kazi

DOKEZO TAMISEMI tusaidieni, tunakufa njaa kwenye vituo vya kazi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Habari zenu wadau.

Bila shaka mpo poa aisee, mimi sitochoka kuongea tafadhari ebu wizara husika kupitia vyombo kama PCCB piteni kwenye ma halmashauri ya wilaya mkague pesa za kujikimu.

Tunapitia mazingira magumu jamani toka tulivyoripoti makazini binafsi hata sh.100 sijapewa. Hata ule msaada kutoka tu kwa mkuu wangu wa kituo cha kazi nimeomba sijapata nimejarbu kupiga simu na kutuma sms kwa mkuu wa kazi ngazi ya wilaya na kupiga simu na kutuma sms kwa katibu sijibiwi lolote.

Naishi mazingira magumu nalala chini nipo kwenye wilaya yenye baridi 24 hrs hebu, fikiri halafu nalala kwenye sakafu ambayo natandika shuka moja jingine najifunika.

Dumu moja la maji ni sh.600 hapo sijazungumzia chakula n.k

Nimeshakula sana kwa staff wenzangu hadi naona aibu sasa.

Najua nitaonekana muongeaji sana lakini ngoja niongee huenda nikawasaidia wengine walioshindwa ongea.

Jamani tusaidieni tupate pesa ya kujikimu tena iwe yote kwa pamoja maana nimesikia hii wilaya wanatoaga mara 100,000/= mara sh. Kadhaa mwisho wa siku wanaishia njiani hawajakamilisha hiyo pesa.

Kwa ufupi upande wangu naishi maisha magumu sana hata nashindwa kuelezea yote kwa ujumla.

NAJUA HUMU MPO MPAKA VIONGOZI TUSAIDIENI JAMAN.... [emoji120]🥹
Siku ukilipwa uje utoe mrejesho, tunapasa sauti mkishalipwa mnatusahau mnakaa kimya, mlivyokuwa mnatoa shukrani makanisani mmepata kazi haya kaeni kimya acheni kumjaribu MUNGU
 
Habari zenu wadau.

Bila shaka mpo poa aisee, mimi sitochoka kuongea tafadhari ebu wizara husika kupitia vyombo kama PCCB piteni kwenye ma halmashauri ya wilaya mkague pesa za kujikimu.

Tunapitia mazingira magumu jamani toka tulivyoripoti makazini binafsi hata sh.100 sijapewa. Hata ule msaada kutoka tu kwa mkuu wangu wa kituo cha kazi nimeomba sijapata nimejarbu kupiga simu na kutuma sms kwa mkuu wa kazi ngazi ya wilaya na kupiga simu na kutuma sms kwa katibu sijibiwi lolote.

Naishi mazingira magumu nalala chini nipo kwenye wilaya yenye baridi 24 hrs hebu, fikiri halafu nalala kwenye sakafu ambayo natandika shuka moja jingine najifunika.

Dumu moja la maji ni sh.600 hapo sijazungumzia chakula n.k

Nimeshakula sana kwa staff wenzangu hadi naona aibu sasa.

Najua nitaonekana muongeaji sana lakini ngoja niongee huenda nikawasaidia wengine walioshindwa ongea.

Jamani tusaidieni tupate pesa ya kujikimu tena iwe yote kwa pamoja maana nimesikia hii wilaya wanatoaga mara 100,000/= mara sh. Kadhaa mwisho wa siku wanaishia njiani hawajakamilisha hiyo pesa.

Kwa ufupi upande wangu naishi maisha magumu sana hata nashindwa kuelezea yote kwa ujumla.

NAJUA HUMU MPO MPAKA VIONGOZI TUSAIDIENI JAMAN.... [emoji120]🥹
Ila ni kama vile una asili ya ulalamishi sana na gubu,aisee serikalini utachokwa haraka usifanye hivyo.Tumia ngazi sahihi kueleza changamoto yako.Mf kama huridhishwi na maelezo ya afisa utumishi basi ongea na DHRO, kama huelewi rudi kwa bosi kuu wa idara yako kwanza ili labda aongee na bosi mwenzie DHRO labda utasaidika.Ukishindwa nenda kwa mkurugenzi ded/md kulingana na halmashauri ulipo.Pia eleza kwa staha changamoto za huko kulala chini ili waone namna gani huenda kuna viposho utasaidiwa wakati wanajipanga na mwaka mpya wa fedha.Jaribu hivyo kuliko kukimbilia media.
 
Taja jina la wilaya na kituo cha kazi mara moja.
Ni halmashauri gani hiyo yenye baridi 24hrs/week halafu maji ni sh 600/dumu? Njombe, Arusha, Ngara, Makete na kwingineko serikali ilishamaliza kero za maji na umeme siku nyingi. Wapi huko unakokulalamikia?
Siyo kote bos kero ipo mbona, mkoa na wilaya nisha taja.

Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
 
Ila ni kama vile una asili ya ulalamishi sana na gubu,aisee serikalini utachokwa haraka usifanye hivyo.Tumia ngazi sahihi kueleza changamoto yako.Mf kama huridhishwi na maelezo ya afisa utumishi basi ongea na DHRO, kama huelewi rudi kwa bosi kuu wa idara yako kwanza ili labda aongee na bosi mwenzie DHRO labda utasaidika.Ukishindwa nenda kwa mkurugenzi ded/md kulingana na halmashauri ulipo.Pia eleza kwa staha changamoto za huko kulala chini ili waone namna gani huenda kuna viposho utasaidiwa wakati wanajipanga na mwaka mpya wa fedha.Jaribu hivyo kuliko kukimbilia media.
TAMISEMI ilishatuma fedha za kujikimu kwa maDED kwa councils zote kulingana na idadi ya watu.
 
Ila ni kama vile una asili ya ulalamishi sana na gubu,aisee serikalini utachokwa haraka usifanye hivyo.Tumia ngazi sahihi kueleza changamoto yako.Mf kama huridhishwi na maelezo ya afisa utumishi basi ongea na DHRO, kama huelewi rudi kwa bosi kuu wa idara yako kwanza ili labda aongee na bosi mwenzie DHRO labda utasaidika.Ukishindwa nenda kwa mkurugenzi ded/md kulingana na halmashauri ulipo.Pia eleza kwa staha changamoto za huko kulala chini ili waone namna gani huenda kuna viposho utasaidiwa wakati wanajipanga na mwaka mpya wa fedha.Jaribu hivyo kuliko kukimbilia media.
Mnashauri ujinga
 
Habari zenu wadau.

Bila shaka mpo poa aisee, mimi sitochoka kuongea tafadhari ebu wizara husika kupitia vyombo kama PCCB piteni kwenye ma halmashauri ya wilaya mkague pesa za kujikimu.

Tunapitia mazingira magumu jamani toka tulivyoripoti makazini binafsi hata sh.100 sijapewa. Hata ule msaada kutoka tu kwa mkuu wangu wa kituo cha kazi nimeomba sijapata nimejarbu kupiga simu na kutuma sms kwa mkuu wa kazi ngazi ya wilaya na kupiga simu na kutuma sms kwa katibu sijibiwi lolote.

Naishi mazingira magumu nalala chini nipo kwenye wilaya yenye baridi 24 hrs hebu, fikiri halafu nalala kwenye sakafu ambayo natandika shuka moja jingine najifunika.

Dumu moja la maji ni sh.600 hapo sijazungumzia chakula n.k

Nimeshakula sana kwa staff wenzangu hadi naona aibu sasa.

Najua nitaonekana muongeaji sana lakini ngoja niongee huenda nikawasaidia wengine walioshindwa ongea.

Jamani tusaidieni tupate pesa ya kujikimu tena iwe yote kwa pamoja maana nimesikia hii wilaya wanatoaga mara 100,000/= mara sh. Kadhaa mwisho wa siku wanaishia njiani hawajakamilisha hiyo pesa.

Kwa ufupi upande wangu naishi maisha magumu sana hata nashindwa kuelezea yote kwa ujumla.

NAJUA HUMU MPO MPAKA VIONGOZI TUSAIDIENI JAMAN.... [emoji120]🥹

Pole teacher!
Ila ulisherekea mno wakati unaona jina kwenye mkeka!!!
 
Ila ni kama vile una asili ya ulalamishi sana na gubu,aisee serikalini utachokwa haraka usifanye hivyo.Tumia ngazi sahihi kueleza changamoto yako.Mf kama huridhishwi na maelezo ya afisa utumishi basi ongea na DHRO, kama huelewi rudi kwa bosi kuu wa idara yako kwanza ili labda aongee na bosi mwenzie DHRO labda utasaidika.Ukishindwa nenda kwa mkurugenzi ded/md kulingana na halmashauri ulipo.Pia eleza kwa staha changamoto za huko kulala chini ili waone namna gani huenda kuna viposho utasaidiwa wakati wanajipanga na mwaka mpya wa fedha.Jaribu hivyo kuliko kukimbilia media.
Soma vizur mkuu uko kote nmesha pita wengine hata ukiwapigia simu awapokei pia kweli sina gub wala ulalamishi sema kufikia nimeweka wazi nahitaji mnisaidie paza saut...mkuu kama ww n mwajiliwa kama mm kuna mahal wakikubana stahiki lazma upige kelele ata leo wabunge wakiminywa kidog posho zao nao upiga yowe


Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
 
Mzee ki psychology nisha kufa tayar maana suluali mkanda nimetoboa tundu jipya🥹

Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
Kama ulishariport kwa Nini usingerudi nyumban hadi wakuwekee Hela ya kujikimu...huoni unajitesa Bure?wengine waliambiwa wakae mpk wawekewe Hela ya kujikimu...na huo utaratibu unaeleweka
 
Back
Top Bottom