bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Kwann ulale chini wakati mabox yapo dukani.
Hakuna usingizi mtamu sana Kama wa kulalia box.
Hakuna usingizi mtamu sana Kama wa kulalia box.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlipeni haki yake asilie lie nyie ndio mnakatisha watu tamaa wanakimbia then watumishi wanakosekana vijijini.Una Anza kulia Lia mapema sana utatoboa kweli wewe? Komaa hizo ndio ajira za serikali ya Tanzania msoto ni mwingi sana
Kwel kabsaMlipeni haki yake asilie lie nyie ndio mnakatisha watu tamaa wanakimbia then watumishi wanakosekana vijijini.
🥹Serikali walipeni Hela zao kwa wakat mbona wabunge hamuwakopi.
Sasa Kama ni mtoto wa kike kwa muda huu si ashaki******#$ sana ili aishi.
AfyNgoja mkuu wako aliyekalia malipo unayostahili akuje inbox akutumbue, ndo utajua hujui.
Ni kazi ya ualimu, au?
Soma vizur mr villageKama hutaji halmashauri, wewe ni mwoga na Mwongo tu
Ok..
Tunatoboa tu sema jaribu fananisha unanyunba yako af ofis ya kijiji inakuletea zengwe kwenye kupata hat ya nyumba yako ko lazima ulie lie ili haki ipatikane.Una Anza kulia Lia mapema sana utatoboa kweli wewe? Komaa hizo ndio ajira za serikali ya Tanzania msoto ni mwingi sana
Acha mawazo hayo mkuu.Hapo ndio pa kujigongea watumishi wapya wa kike
Ni kutomba tu mkuuAcha mawazo hayo mkuu.
Ashumu n mwanai wa kike af uko mbele napitia msoto ka uo...
Maana maisha ni cycle leo kipo kesho akipo
Sent from my TECNO KI7 using JamiiForums mobile app
Nilisha tuma kila kitu siku niloenda ripot.Ungekaa siku mbili uondoke tu due huna Hela ya kujikimu na kama ulishatuma payroll hakuna wa kuwez kukuachisha kazi
Asant mkuuNenda kamuone DED mwenyewe mweleze shida yako, kuna namba za cm za Mganga Mfawidhi, DMO, DED/ RMO/TAMISEMI
Sawa sawa mkuu.Ni kutomba tu mkuu
Hakuna kitu kinaitwa karma
Mmh[emoji17]Ok..
Omba mkopo kwa ndugu au jamaa. Ukiwa na kazi unakopesheka
Anataka akatiririke inbox wakati yuko kwenye probation ?[emoji3][emoji3]Usije fukuzwa kazi. Unajua anayetaka kukusaidia ni nani?
Mkuu huyo mtumishi haumtombi bure si unamhonga akupe utelezi apate hela ya kujikumu huku akisubiria aingiziwe mpunga