Ni kawaida sana kwa Mtumishi anapohamishwa kituo Cha Kazi uchelewa/kutolipwa kabisa gharama za kujikimu na kubeba Mizigo kwenye halmshauri nyingi.
Mtumishi anakaa miezi 6, mwaka au zaidi bila kulipwa! Kuna mwingine alilipwa kidogo kidogo kwa miaka 5, kweli hii ni aibu na kumdumaza Mtumishi. Ndiyo maana wanatembeza bodaboda kuitafuta hela! Ndiyo, mmempeleka ugenini atamudu vipi maisha na familia?
Nashauri Serikali, kuweka bajeti ya uhamisho Tamisemi mtu anapohamishwa mnamtumia na hela yake ya kujikimu.
Halmshauri hizi makandokando ni mengi hadi kero; wako kilocal zaidi.
Mtumishi anakaa miezi 6, mwaka au zaidi bila kulipwa! Kuna mwingine alilipwa kidogo kidogo kwa miaka 5, kweli hii ni aibu na kumdumaza Mtumishi. Ndiyo maana wanatembeza bodaboda kuitafuta hela! Ndiyo, mmempeleka ugenini atamudu vipi maisha na familia?
Nashauri Serikali, kuweka bajeti ya uhamisho Tamisemi mtu anapohamishwa mnamtumia na hela yake ya kujikimu.
Halmshauri hizi makandokando ni mengi hadi kero; wako kilocal zaidi.