TAMISEMI Waliweka nafasi hewa za ualimu

TAMISEMI Waliweka nafasi hewa za ualimu

Sir_Finus

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2011
Posts
330
Reaction score
139
Pamoja na nafasi kutangazwa na kutolewa majina yaliyokamilika kwa nafasi za ualimu, Nasikitika kuwa katika nasi ambazo zilionyeshwa kuwa kuna nafasi na watapangiwa watu katika nafasi hizo.

Kumbe zilikuwa hewa na TAMISEMI walijua hawawapangii watu kabisa katika nafasi hizo. La kujiuliza, kama walijua hawapangi mtu katika nafasi hizo kwanini hakuziondoa na kuweka nafasi ya watu kugombea kwa usawa nafasi zilizopo?

Katika nafasi zote hizo 5, amepangiwa mtu mmoja tu kwa shule ya Rutamba. Hizo nyingine zote hamna aliyepangiwa
27-04-2022 (2).png
 
Pamoja na nafasi kutangazwa na kutolewa majina yaliyokamilika kwa nafasi za ualimu, Nasikitika kuwa katika nasi ambazo zilionyeshwa kuwa kuna nafasi na watapangiwa watu katika nafasi hizo. Kumbe zilikuwa hewa na TAMISEMI walijua hawawapangii watu kabisa katika nafasi hizo. La kujiuliza, kama walijua hawapangi mtu katika nafasi hizo kwanini hakuziondoa na kuweka nafasi ya watu kugombea kwa usawa nafasi zilizopo?View attachment 2272846

Pole sana mkuu, jaribu tena next time …usikate tamaa!
 
Pamoja na nafasi kutangazwa na kutolewa majina yaliyokamilika kwa nafasi za ualimu, Nasikitika kuwa katika nasi ambazo zilionyeshwa kuwa kuna nafasi na watapangiwa watu katika nafasi hizo...
Aisee namimi nimeangalia hapa ni shule moja tu kwa masomo niliyoomba ndio Ile nafasi imejazwa n mtu....
 
Aisee namimi nimeangalia hapa ni shule moja tu kwa masomo niliyoomba ndio Ile nafasi imejazwa n mtu....
Watu wengi sana wanaangalia wanakutana na kitu hicho.. kuna mmoja nafasi zote 5 alizo chagua hamna aliyechukuliwa hata nafasi moja katika masomo ya shule alizoomba
 
Kuwa mvumilivu kaka, Mungu hamtupi mja wake.
Omba sana mola atakufanyia wepesi siku moja.
Hawawezi kupata wote haijalishi mnavigezo sawa.

Acha kabisa kutoa lawama ni kitu kibaya kwenye maisha.
Hii si lawama, ila nikotoa taarifa kuwa kinachofanywa watu wamekijua.. wakati mwingine kifanyike sahihi.. kulikuwa na shida gani kuweka nafasi zenye uhitaji hadi waweke nafasi hewa?

Mtu aombe hewani abaki na tumaini angali wanajua fika hamna kitu? Kukosa si shida, shida ni uongo...
 
Back
Top Bottom