TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

Ajira za afya zina interview?? 1.umefanya internship mwaka mzima 2. umefanya mthiani wa leseni alafu bado ufanyiwe interview???
Acha kukariri, Engineer hawana Leseni? Vip CPA za wahasibu,vip kuhusu Wanasheria wanapita Law school? Hao wote wanafanya interview kwenye ajira zao..hata Ajira za afya kipind cha nyuma ili ufanye kazi Muhimbili,mtu alitakiwa afanye Interview.
 
Hivi ndivyo watanzania tunavyotafutiana ulaji. Wakili/mwanasheria anaenda kupiga pesa mno. Kama huna elfu 5000/10000 katika Kila cheti, aise mtanzania mwenzangu jobless huombi hizi nafasi za kazi. Hivi hiki kipengele Cha kuwatafutia ulaji mwakili na wanasheria wetu hakiwezi kuondolewa?
 
Sio lazima kwenda kwa mwanasheria.. vyeti vyenyewe vimethibitishishwa hakuna haja ya mwanasheria
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…