TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

Naona mmeanza kunielewa , magufuri alikuwa ni rais wa hovyoo Toka nchi imepata uhuru, alikuwa Na roho mbaya, aliwachukia wasomi, aliwachukia matajiri, nataka nikupe Siri moja ambayo unaweza usiikubali,.......haya mambo ya connection hasa kwenye ajira yalizidi sana hasa kipindi cha magufuri..ulikuwa huwezi kupata ajira mpaka uwe kada wa chama cha ccm , ulikuwa huwezi kupata ajira kama wewe sio msukuma au mtu wa kanda ya ziwa, ulikuwa huwezi kupata ajira mfano za Tamisemi kama huna mtu wa kukushika mkono ni wachache sana waliopata ajira za Tamisemi kwa uwezo wao. Hili la Ajira la Tamisemi kuwa recruited Na utumishi ni moja wapo ya sababu ya kupunguza mambo ya connection Mimi ni moja ya watu tuliomuandikia barua ya malalamiko kwa mheshimiwa waziri Mohammed mchengerwa, tulilalamika sana tena kwa uchungu...ndio maana unaona ajira zimehamishiwa kule😎😎
sakute sana mkuu
naomba unijibu PM kule
 
Nimemfanyia rafiki yangu Application leo.

Tulijadili na jamaa yangu achague mikoa 5 then aombe hiyo mikoa.

Ila nilipoanza kuomba mkoa wa kwanza, nilipomaliza, zikaandika kwa pamoja kwenye nafasi zote mikoa yote kuwa ALREADY APPLIED then jina la Mwajiri likajitokeza ni MDAs and LGAs kule kwenye MY APPLICATIONS.

Kwa hiyo utakapoomba mara moja ndio imeisha hiyo, itabaki sasa utakapoitwa kwenye Interview na ukatusua, utaweza kupangiwa mkoa wowote au mkoa ulioomba wakati wa ApplicationView attachment 3036746
Jamani msaada ndugu zangu, nimeattach vyeti mara mbili ile sehemu ya accademic qualification kipengele cha kujaza cheti cha chuo( cheti kimeongezwa mara mbili), hii imekaaje na maombi nimeshatuma,je nitazingatiwa? Na kuna rafiki yangu pia yeye sehemu ya recommendation letter kaweka barau yake ya kuomba kazi na mwishoni pia kaiweka na maombi yameenda na hili pia linakaaje? Kwa wazoefu jamani
 
Jamani msaada ndugu zangu, nimeattach vyeti mara mbili ile sehemu ya accademic qualification kipengele cha kujaza cheti cha chuo( cheti kimeongezwa mara mbili), hii imekaaje na maombi nimeshatuma,je nitazingatiwa? Na kuna rafiki yangu pia yeye sehemu ya recommendation letter kaweka barau yake ya kuomba kazi na mwishoni pia kaiweka na maombi yameenda na hili pia linakaaje? Kwa wazoefu jamani
Cheti kimeongezwa mara mbili(ila ni cheti hicho hicho), binafsi nafikiri hamna kosa hapa, wataelewa kuwa uliweka kimakosa, na kama cheti kipo valid, watakipokea.

Jamaa kaweka barua kwenye sehemu ya recommendation, pia kaweka sehemu sahihi. Recommendation sio muhimu, haiwezi kumdisqualify.

Hitimisho: Binafsi naoma hamna tatizo.

Kama una wasiwasi, wapigie PSRS waeleze hilo jambo watalitatua
 
Cheti kimeongezwa mara mbili(ila ni cheti hicho hicho), binafsi nafikiri hamna kosa hapa, wataelewa kuwa uliweka kimakosa, na kama cheti kipo valid, watakipokea.

Jamaa kaweka barua kwenye sehemu ya recommendation, pia kaweka sehemu sahihi. Recommendation sio muhimu, haiwezi kumdisqualify.

Hitimisho: Binafsi naoma hamna tatizo.

Kama una wasiwasi, wapigie PSRS waeleze hilo jambo watalitatua
Asante sana mkuu kwa mawazo yako
 
Back
Top Bottom