TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

Interview ipo ya kuandika(mchujo) na oral.

Hii ni nzuri sana utajua mwelekeo wako mapema, ukifika Oral unakuwa na probability kubwa ya kupata nafasi.

Usipopata nafasi hizi utawekwa akiba then utaweza kupangiwa sehemu nyingine nafasi zikipatikana. Unaweza kuja kushangaa wale waliobaki akiba wakalamba asali nono kwenye Taasisi kubwa kubwa.

Hivyo hakikisha unapambana ufike OralView attachment 3039308
Sasa kuna kada hazina watu kabisa.

Mfano EN(nurse certificate)
Karibia wengi waliajiriwa miaka ya hivi karibuni.

Halfu utaratibu wao wa tamisemi zamani ulikuwa unazingatia First in first Out.

Hauoni kama hii itapelekea waliomaloza hivi karibuni wengi kuwa kwenye utumishi wa umma ilhali walimuda mrefu wameshindwa kupata chance ya kufaulu usaili.
 
Sasa kuna kada hazina watu kabisa.

Mfano EN(nurse certificate)
Karibia wengi waliajiriwa miaka ya hivi karibuni.

Halfu utaratibu wao wa tamisemi zamani ulikuwa unazingatia First in first Out.

Hauoni kama hii itapelekea waliomaloza hivi karibuni wengi kuwa kwenye utumishi wa umma ilhali walimuda mrefu wameshindwa kupata chance ya kufaulu usaili.
PSRS wana vigezo wa kuchagua watu na kuwapa nafasi za kazi.

Mojawapo ya kigezo ni umri.

Kivipi umri utazingatiwa: Endapo marks za ufaulu wa oral zikafanana, umri utaangaliwa halafu mwenye umri mkubwa atapatiwa nafasi.

Hivyo hivyo kuna vigezo vya jinsia, ulemavu. Kwenye jinsia Ke atapata nafasi endapo amelingana marks na Me ila hapa nafikiri(sina uhakika) umri lazima uwe/karibia sawa.
 
Interview ipo ya kuandika(mchujo) na oral.

Hii ni nzuri sana utajua mwelekeo wako mapema, ukifika Oral unakuwa na probability kubwa ya kupata nafasi.

Usipopata nafasi hizi utawekwa akiba then utaweza kupangiwa sehemu nyingine nafasi zikipatikana. Unaweza kuja kushangaa wale waliobaki akiba wakalamba asali nono kwenye Taasisi kubwa kubwa.

Hivyo hakikisha unapambana ufike OralView attachment 3039308
Halfu mambo yako ovyo sana mkuu mm mwaka jana nimepambana oral mwaka jana afya tulikuwa written 1000+ oral 120 mpaka leo mwezi wa kumi hata watu 50 hawajachukua na database ina expire mwezi ujao.
 
Interview ipo ya kuandika(mchujo) na oral.

Hii ni nzuri sana utajua mwelekeo wako mapema, ukifika Oral unakuwa na probability kubwa ya kupata nafasi.

Usipopata nafasi hizi utawekwa akiba then utaweza kupangiwa sehemu nyingine nafasi zikipatikana. Unaweza kuja kushangaa wale waliobaki akiba wakalamba asali nono kwenye Taasisi kubwa kubwa.

Hivyo hakikisha unapambana ufike OralView attachment 3039308
Halfu mambo yako ovyo sana mkuu mm mwaka jana nimepambana oral mwaka jana afya tulikuwa written 1000+ oral 120 mpaka leo mwezi wa kumi hata watu 50 hawajachukua na database ina expire mwezi ujao.
 
PSRS wana vigezo wa kuchagua watu na kuwapa nafasi za kazi.

Mojawapo ya kigezo ni umri.

Kivipi umri utazingatiwa: Endapo marks za ufaulu wa oral zikafanana, umri utaangaliwa halafu mwenye umri mkubwa atapatiwa nafasi.

Hivyo hivyo kuna vigezo vya jinsia, ulemavu. Kwenye jinsia Ke atapata nafasi endapo amelingana marks na Me ila hapa nafikiri(sina uhakika) umri lazima uwe/karibia sawa.
Hapo kuna wengine tuna umri mdogo ila tumemaliza muda mrefu na tushapambana sana na ma interview hayo.

Kiuhalisia mimi ni mtu ambaye nina imani sana na utumishi.

Ila mara baada ya kufanya written kadhaa na oral Pasi na mafanikio hali iliyopelekea kuchukua sana hii michakato.

Kiukweli mimi sio kwamba naogopa interview ila Mfumo wa kuajiri utumishi umeniondolea imani.
 
Barua haina shida, kingereza na kiswahili vinakubalika.

Hizo nyaraka zote ambazo hujacertify, zi certify halafu zipakie tena, kuzibadili kwa sasa haziwezi kudisqualify application yako.

Uzuri wa Ajira portal ni kwamba hata deadline ya application ya nafasi husika ikifika, utaweza kuendelea kubadili nyaraka zote kama kawaida endapo ukiona pana kosa, isipokuwa barua ndio hutaweza kuibadili. Hili ni tofauti na mfumo wa Tamisemi au Afya uliokuwa unatumika ambapo ulikuwa ukimaliza kuapply huwezi tena kuedit penye makosa.
Asante sana mkuu kwa majibu yako nashukuru baada ya kurudi kuangalia tena nimekuta tayari document nilizopakia zikiwa verified zikionekana

Swali langu la mwisho hivi hawa mareferee watatu ni kweli huwa wanapigiwa simu?

Maana kuna mareferee unaweza waweka kwa nia nzuri tu wakaamua kukukanda wakipigiwa simu badala ya kukupa maua yako.

Natanguliza shukrani
 
Hapo kuna wengine tuna umri mdogo ila tumemaliza muda mrefu na tushapambana sana na ma interview hayo.

Kiuhalisia mimi ni mtu ambaye nina imani sana na utumishi.

Ila mara baada ya kufanya written kadhaa na oral Pasi na mafanikio hali iliyopelekea kuchukua sana hii michakato.

Kiukweli mimi sio kwamba naogopa interview ila Mfumo wa kuajiri utumishi umeniondolea imani.
Umri bado mdogo hata kama ushamaliza chuo muda mrefu, hauwezi kufanana na mwenye umri mkubwa katika kipindi cha Utumishi wa Umma.

Huyo mwenye umri mkubwa atawahi kustaafu kabla yako, hivyo anatakaiwa kuingia kwenye Utumishi wa Umma kabla ya wewe.

Kitu pekee kitakachokuokoa ni kufaulu Oral kwa Alama za Juu. Wapo waliopita kwa namna hii wengi tu
 
Asante sana mkuu kwa majibu yako nashukuru baada ya kurudi kuangalia tena nimekuta tayari document nilizopakia zikiwa verified zikionekana

Swali langu la mwisho hivi hawa mareferee watatu ni kweli huwa wanapigiwa simu?

Maana kuna mareferee unaweza waweka kwa nia nzuri tu wakaamua kukukanda wakipigiwa simu badala ya kukupa maua yako.

Natanguliza shukrani
Naskia hua hawapigiwi simu ila wape taarifa tuu hao referee wako kabla ya kuwaweka.
 
Asante sana mkuu kwa majibu yako nashukuru baada ya kurudi kuangalia tena nimekuta tayari document nilizopakia zikiwa verified zikionekana

Swali langu la mwisho hivi hawa mareferee watatu ni kweli huwa wanapigiwa simu?

Maana kuna mareferee unaweza waweka kwa nia nzuri tu wakaamua kukukanda wakipigiwa simu badala ya kukupa maua yako.

Natanguliza shukrani
Sijawahi kusikia PSRS wawapigie referee
 
kuna rafiki yangu kasahau password za ajira portal na alikuw ashajisajili mwanzo na akibonyez forgrt password hapokei respond yeyote huyu anasaidikaje??
 
Umri bado mdogo hata kama ushamaliza chuo muda mrefu, hauwezi kufanana na mwenye umri mkubwa katika kipindi cha Utumishi wa Umma.

Huyo mwenye umri mkubwa atawahi kustaafu kabla yako, hivyo anatakaiwa kuingia kwenye Utumishi wa Umma kabla ya wewe.

Kitu pekee kitakachokuokoa ni kufaulu Oral kwa Alama za Juu. Wapo waliopita kwa namna hii wengi tu
1000107719.jpg
 
Habari za muda huu ,nimejaribu kurepost passport size niliyo attach kwenye profile yangu. Shinda ni kwamba kuna background inaonekana nyuma yenye rangi ya karatasi ya kaki mbali hii hii imekaaje? Iko sawa au hiyo background ya nyuma zaidi iyo ya kaki haikutakiwa hapo na nimefanya juu chini kubadilisha picha imegoma
 
Habari za muda huu ,nimejaribu kurepost passport size niliyo attach kwenye profile yangu. Shinda ni kwamba kuna background inaonekana nyuma yenye rangi ya karatasi ya kaki mbali hii hii imekaaje? Iko sawa au hiyo background ya nyuma zaidi iyo ya kaki haikutakiwa hapo na nimefanya juu chini kubadilisha picha imegoma
Hiyo background sio sahihi kaka
 
Habari za muda huu ,nimejaribu kurepost passport size niliyo attach kwenye profile yangu. Shinda ni kwamba kuna background inaonekana nyuma yenye rangi ya karatasi ya kaki mbali hii hii imekaaje? Iko sawa au hiyo background ya nyuma zaidi iyo ya kaki haikutakiwa hapo na nimefanya juu chini kubadilisha picha imegoma
Em jaribu kama una-crop hy picha
 
Habari za muda huu ,nimejaribu kurepost passport size niliyo attach kwenye profile yangu. Shinda ni kwamba kuna background inaonekana nyuma yenye rangi ya karatasi ya kaki mbali hii hii imekaaje? Iko sawa au hiyo background ya nyuma zaidi iyo ya kaki haikutakiwa hapo na nimefanya juu chini kubadilisha picha imegoma
Tafuta picha ambayo ni nzuri kabisa, backgrou ya blue/blue bahari.

Usikubali kuja kutokuwa shortlisted kwa mambo madogo madogo kama hayo
 
Tafuta picha ambayo ni nzuri kabisa, backgrou ya blue/blue bahari.

Usikubali kuja kutokuwa shortlisted kwa mambo madogo madogo kama hayo
Hapa naongezea ikibidi atumie ila app ya kutengenezea passport mimi niliitumia

Nilipiga picha nyuma ya shuka la blue ile app ikanisaidia kupata passport makini sana tu
 
Back
Top Bottom