Tupe mwanga maswali ya oral yanakuwaje mkuu, english or swahili or both? Na yanakuwa ya darasani au ni yale maswali trick kama utaifanyia nini kampuni tukikuajiri au utakuwa nani baada ya miaka 8[emoji28]
Ufahamu.
Scenario za hospital kama ethical dillema.
Maswali yake mengi ni ufahamu hayako direct anaweza akawa anahitaji management ya ugonjwa Fulani ila akakuzunguka.
Kiukweli majamaa inabidi usome upige shule kweli kweli uwe una uelewa kila mahali wa kada yako.
Ila maswali ni ya darasa ila wanayaleta mazingira ya kazini.
Japo kabla haujaenda kwa interview jus job discription zako.na Uzi some kila moja kama topics.
Mfano kama ww CO.
Moja ya jukumu lako ni Ku conduct minor cases zote basi hapo inabidi usome minor case na procedure zote.
Kama moja ni Ku provide health education to the clients lazima upige shule ya Health education and importance zake zote.
Kama muuguzi.
Utafanya Maternal and child care inatakiwa usome RCH uijue.
Ukisema To provide General nursing care basi hapo inatakiwa upige shule ya General nurse ,care zote na management zote.
Kikubwa na cha msingi jamani.
1.Tumwamini Mungu.
2.Tuanze sasa kusoma.
3.Interview inatisha ila tusiogope.
ORAL .
COMMON QN.
1.Introduce Yourself
2.Explain your job description according to your position unayotakiwa kuajiriwa...