TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

Bonyeza kitufe cha plus (+)

Jaza kama inavyoonekana hapa kwenye picha kulingana na Baraza lako la kitaaluma.

Kwenye Year From to andika mwaka uliposajiliwa na Baraza hadi mwaka huu(angalia mfano nilivyojaza hapo).

Mwngine yanajieleza, then utaattach hiyo leseni hai na kusaveView attachment 3042687
Kaka samahani naomba kuuliza hivi kwa mtu ambae ana certificate ya clinical madicine pale kweny machaguo ya ya certificate,basic techician certificate,technician certificate hua anatakiw achague ipi kati ya hzo?
 
Tunamsaidiaje.

Mtu aliyesahau email aliyetumia kufungulia acc ya ajira portal urgently?
Awaandikie barua kwamba anataka badili e-mail from hii to hii, then awatumie kwenye email yao (aweke majina yake matatu na namba ya Nida aambatanishe)
 
Hapana bro usichoke kusaidia.

Ila mm nawashauri vijana wenzangu waweke Address ambayo ndipo watakapofanyia usaili mana hakutakuwa na kurudi tena kuangalia mtahiniwa yuko wap ili kutoa majina kwa mara ya pili.

Bro, hv hutojisikia raha kama mtu humu akileta feedback ya kukushukuru kwa kumsaidia kufanya Application yake vyema? Kama hilo jambo litakufurahisha bc usichoke kuwasaidia vijana wnzko.

Muhimu ila sio lazima 😂 Mwifwa unakumbuka kuna comment yangu humu kwenye huu uzi nimefundisha watu khs apps za kutumia ili kufanikisha kuomba ajira bila wao kuingia gharama yoyote ht ya kupata mhuri wa mwanasheria?
Sasa kuna mtu akanifata pm na kunitumia 20k kutokana na ile comment yangu mana aliona n bora anipe hy pesa kuliko kupeleka kwa mwanasheria.

Hvy bro tusichoke kusaidiana
Aisee kuwa makini kuna siku utakamatwa kirahisi sana, yaani umefundisha watu uharamia halafu unakubali kutoa namba yako mtu anakurushia 20k?
Ukienda mahakamani unatoa 10k Wana certify vyeti vyote.
 
Kwenye tangazo la ajira Kuna kipengele wanataka u sign barua ya maombi Kisha uiambatanishe na vyeti vya taaluma husika kupitia sanduku la posta walilotaja naomba ufafanuzi kidgo maana sijaelewa kwamba hivyo vyeti na barua vitumwe kwa njia ya posta badala ya online.
Hakuna kutuma Kwa njia ya posta wanakukumbusha barua utakayo tuma hakikisha umeisaini, kuhusu vyeti uwe umeviatachi sehemu husika , maombi yote ni online hakuna kutuma Kwa njia posta nadhani ata kwenye tangazo wamesisitiza!
 
Awaandikie barua kwamba anataka badili e-mail from hii to hii, then awatumie kwenye email yao (aweke majina yake matatu na namba ya Nida aambatanishe)
Sasa atabadili vp email from hii to hii wakati hy email ya kwanza haikumbuki?
 
Recommendation letter ni barua ya namna Gani hii ?

Au ni barua mahususi kutoka kwa mwajiri kwa wale wenye mikataba ya muda mfupi mfano Benjamin Mkapa?
 
Recommendation letter ni barua ya namna Gani hii ?

Au ni barua mahususi kutoka kwa mwajiri kwa wale wenye mikataba ya muda mfupi mfano Benjamin Mkapa?
N barua ya kuthibitisha kuwa ww unaiweza hy kazi iliyotangazwa, mara nyingi hua inaandikwa na watu wenye position kubwa kwahy ndio inaweza ikawa n kutoka kwa mwajiri wako, maprofesa, wakuu wa mikoa, wilaya nk
 
Back
Top Bottom