TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

TAMISEMI wametangaza ajira za afya leo kupitia Sekretarieti ya Ajira, sasa ni mwendo wa Interview

Soma komenti za nyuma nishaelekeza.

Au kama unaona uzito kurudi komenti za nyuma, jaza kuanzia mwaka uliosajiliwa hadi mwaka leseni itakapoexpire
Kama ataona uzito kurudi Comments za nyuma bc huo n mtihani 😂 yn kwenye kupambania maisha yako unaweza kurudia kusoma uzi nzima ili kuchukua madini na kurekebisha Application zako kabla ya deadline.
 
Kwahy Umesahau habari za mitihani ila kutibu watu mnaweza? Sasa kile unachojibu kwenye mtihani c ndo hicho hicho itakuwa jukumu lako kazini au?
Kwahiyo kijana aliemaliza 2023 akijibu vzr kuliko kaka yake aliehitimu 2015 anakaribia miaka 40 wa zammani anaachwa
 
Kwahiyo kijana aliemaliza 2023 akijibu vzr kuliko kaka yake aliehitimu 2015 anakaribia miaka 40 wa zammani anaachwa
Miaka 40 ili ufanye kazi ustaafu mapema? Ndio mana tunaambiwa ht tujitolee ili mambo yasitoke kichwani.
Mm naunga mkono interview, na atakayeshinda apewe kazi bila kujali umri wake.
 
Kikubwa Mungu tu akunyooshe mkono wake kama mtindo ni tamisemi wameipa kazi utumishi naamini Kila mtu alieomba ataitwa interview haijalishi umetype au umeandika Kwa mkono kikubwa mihuri ya mwanasheria
Kama ataona uzito kurudi Comments za nyuma bc huo n mtihani 😂 yn kwenye kupambania maisha yako unaweza kurudia kusoma uzi nzima ili kuchukua madini na kurekebisha Application zako kabla ya deadline.
 
Kikubwa Mungu tu akunyooshe mkono wake kama mtindo ni tamisemi wameipa kazi utumishi naamini Kila mtu alieomba ataitwa interview haijalishi umetype au umeandika Kwa mkono kikubwa mihuri ya mwanasheria
Mambo ya umuhimu yapo mengi mkuu, sio hilo moja tuu, tena kwa mtu ambaye ndio mara ya kwanza kutumia huu mfumo itabidi awe makini sana na awe anauliza maswali sana kwa wenye kujua huo mfumo ili nae apate nafasi ya kwenda kukandwa 😂
 
Moderator nashauri ajira za waalimu zitakapotangazwa uzi wake uunganishwe kwenye huu uzi ili wapate kujua mfumo wa ajira Portal ulivyo na jinsi ya kuutumia kuliko kuanza kuwaelekeza upya kwenye uzi mpya wakati kila kitu kipo kwenye huu uzi.
 
Mimi nimekuja kugundua Kuwa Kuna sehemu ya kuweka valid license juzi tu ..niliomba mara ya mwisho sikuweka leseni na niliitwa interview ya afya
 
NIliandika Kwa mkono Hadi naanza kupata mashaka ya kubadilisha niweke ya kutype
Hapana, kuwa na amani tuu, iwe umeandika vzr tuu mtu akisoma anaelewa na hii ndio sababu ya Mm kumshauri mtu kutype mana mtu mwingine anaweza akawa na muandiko mbaya afu akaforce kuandika kwa mkono.

Ila vyovyote, kuandika kwa mkono au typing ni sawa cha msingi usisahau kusign.

Mm nimefanya interview mbili na barua zote nilitype tena kutumia simu na kusign kupitia simu na zote nikaitwa interview na hapa sasa hv nna received moja nayo nimefanya hvy hvy.
 
Najiuliza wale madokta 2000 na wengine nmeona wanatakiwa 700 na kitu huo usaili unafanykia uwanja wa mkapa au!!! Wapange vtuo vjana mkapige kazi tu...
Lazima mkandwe wakuu 😂
 
Nilihoji humu ndani nikaonekana mshenzi.

Haiwezekani miaka yote waajiriwa kwa kuzingatia mwaka wa kubitimu na mwaka wa kumaliza.

Leo waje wampe jukumu PSRS akande watu.
Mfano MD kamaliza mwaka 2023 ukamwajiri kwa kigezo cha kufaulu mtihani na kumwachq MD wa mwaka 2019 kisa kafeli mtihani.

Kiukweli hizi Ajira zitakuwa na lawama haijawahi kutokea
Hivi mbona jambo hili tunaliongelea na kulifafanua kila leo hapa! Kinacho angaliwa kwanza ni ufaulu wa interview! Kama utafaulu kumpita aliye maliza miaka ya nyuma basi wewe ndio utapewa kazi lakini kama mtalingana marks na aliye maliza miaka ya nyuma basi wa miaka ya nyuma atapewa nafasi! Kama kweli ulisomea kada husika uwezi shindwa kufanya interview kisa miaka imepita! Sasa mtu wa kada za afya ana sahau vipi mambo yanayo muhusu tena yeye ndiyo kada inayokwenda kupractise kile alichosoma ….

Hivyo chamsingi Soma soma soma soma!
Halafu watu wanaogopa sana usahili jamani kadi nyingine zote walishazoea hili swala la interview…calm down jiandae na mtihani wa kuandika mtatumia computer na ujinoe kidogo kingereza maana wa ana kwa ana ni mwendo wa ung’eng’e
 
Kama utumishi wataona hii comment yangu, nawaomba sana watu wa afya na ualimu wafanye usaili ili kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.
Wa afya wameshaingia kwenye mfumo😂😂😂😂😂 ila tuhakikishe utumishi wanawakaribisha Walimu kwenye hili jambo 😂😂😂😂😂
 
Kwahiyo kijana aliemaliza 2023 akijibu vzr kuliko kaka yake aliehitimu 2015 anakaribia miaka 40 wa zammani anaachwa
Ndiyo anapewa aliyefaulu mtihani! Lakini wakilingana atapewa aliye maliza zamani! Chamsingi kila mtu ahakikishe anafaulu sasa kama umesahau kila jambo utakwenda kutibu vipi watoto wetu?
 
Hivi mbona jambo hili tunaliongelea na kulifafanua kila leo hapa! Kinacho angaliwa kwanza ni ufaulu wa interview! Kama utafaulu kumpita aliye maliza miaka ya nyuma basi wewe ndio utapewa kazi lakini kama mtalingana marks na aliye maliza miaka ya nyuma basi wa miaka ya nyuma atapewa nafasi! Kama kweli ulisomea kada husika uwezi shindwa kufanya interview kisa miaka imepita! Sasa mtu wa kada za afya ana sahau vipi mambo yanayo muhusu tena yeye ndiyo kada inayokwenda kupractise kile alichosoma ….

Hivyo chamsingi Soma soma soma soma!
Halafu watu wanaogopa sana usahili jamani kadi nyingine zote walishazoea hili swala la interview…calm down jiandae na mtihani wa kuandika mtatumia computer na ujinoe kidogo kingereza maana wa ana kwa ana ni mwendo wa ung’eng’e
Lkn maisha ni magumu sana Huwa inajulikana kabisa hata walimu wenzangu wanalitambua hili Kuwa hata kwenye darasa Huwa Kuna fast na slow learners na Kuna watu ambao no bright na wengine akili za kawaida tu ndio maana ikawekwa passmarks Kwamba kwanzia 50%-100% wote mmefaulu na interview zinapoenda kifanyika Kuna watakaopata 100 wengine akili za kawaida ni 60% sasa hapo Kwa mtindo huo inabidi watu tuachane tu na hizi ajira maana wenye ufaulu mkubwa haijalishi kamaliza 2023 ndo watakaopata kazi
 
Ety mkuu John Reese kijana Mwenzako kama huyu utamsaidia vp?
Yn ameuliza swali na amejibiwa na watu wawili hapo juu lkn anakuja kuuliza tena swali hilo hilo kwa mara ya pili huku akifukua Comments za nyuma.
Sasa wngn tukisema tuwaeleweshe watu kama hawa ndio nyie mnakuja kusema humu kuna watu wana kibri na ujuaji.
taratibu tu tutaelewana, anaeleta ubishi system itamreject
 
Back
Top Bottom