captain sparrow
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 949
- 2,061
Mmh! Wasingetangaza utumishi maana kutangaza yenyewe ni funguKanuni sio shida shida anayehitaji watu hana Fungu la usaili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh! Wasingetangaza utumishi maana kutangaza yenyewe ni funguKanuni sio shida shida anayehitaji watu hana Fungu la usaili.
Hivi wewe ulisomea nini? Mbona unaogopa sana interview?Kanuni sio shida shida anayehitaji watu hana Fungu la usaili.
Tambua Nina oral mbili utumishi.Hivi wewe ulisomea nini? Mbona unaogopa sana interview?
Sasa si wangetangaza kupitia uko uko TamisemiHawana hela ya kufanyisha usaili afya na elimu tusubiri tuone
Afya Hamnaga haya mambo sijui Interview.Muda utaongea,lisemwalo lipo ngoja tuone
Afya wasifanye ila walimu wafanye why??
Acheni ndoto za mchana jamn[emoji23]
Kwa iyo watu wakujitolea ,Kama walikosea kuapply na kuweka vigezo husika inamaana kimewalamba🥲
Muoelewe??? #Rekebisha#Mliokuwa mnabisha kuhusiana na usaili nadhani leo Raisi amelitoa jibu na amewapa maagizo sekretarieti ya ajira muolewe tunachongee tunamaanisha na kuwaambia Hamna usaili.
ngoja tuone,mm nikajua hela inatoa serikalini kupitia psrs hivi mtoa hela ni taasisi inayoajiri??Hawana hela ya kufanyisha usaili afya na elimu tusubiri tuone
Kumbe ulikuwa haujui mfano Tanapa wakipewa kibali lazima wawe na fungu la kufanyisha usaili unaosimamiwa na utumishi.ngoja tuone,mm nikajua hela inatoa serikalini kupitia psrs hivi mtoa hela ni taasisi inayoajiri??
Majina yanatumwa toka huko mnakojitolea.Kwa iyo watu wakujitolea ,Kama walikosea kuapply na kuweka vigezo husika inamaana kimewalamba🥲
Hichi pia ndio kilifanya watu wengi wakasomea Ualimu kwanza mkopo 100%Sisj Afya sio kwamba tunaogopa usaili labda nijizungumzie mimi binafsi
Nimeshafanya saili tatu za utumishi mwaka juzi na mbili mwaka jana nashukuru Mungu nikafika hadi usaili wa mahojiano japo sijabahatika kuajiriwa.
Mara nyingi ukiangalia Hospital kubwa kama MUHIMBILI, BUGANDO,JKCI,MOI hizi ndizo zilikuwa zinafanyosha usaili lakini mtu unajua tunapambana unaenda kukutana na vitu vifuatavyo.
1.Mshahara mzuri tofauti na tamisemi.
2.marurupu ya kutosha.
Sasa leo Tamisemi wakiamua kuajiri kwa usaili watakuwa wanawaonea sana watu Maana sehemu zao za kazi.
Serikali inahuhitaji mkubwa sana wa watumishi wa afya tena kwa uharaka
Mshahara mdogo.
Hakuna marurupu.
Wanakijiji na wanasiasa kuchongeana.
Utaratibu awali ulikuwepo wa kuajiri kwa kuzingatia mwaka na muda wa mwajiri aliomaliza chuo.
So Tuwe wapole.
Sio kwamba Tunaogopa usaili.
Ila asilimia 80% ya watu wa afya hawaipendi tamisemi tuwaambie ukweli tu Tunaenda kwa kuwa kama last option.
😀😀 watapungua kisa usahili,kwa hiyo walimu wanaogopa usahili?Hichi pia ndio kilifanya watu wengi wakasomea Ualimu kwanza mkopo 100%
Uhakika wa kazi bila usumbufu
Tamisemi wakiweka usahili watu wengi hawatokuwa interested nao
Pia wasoma ualimu watapungua saana
Hapana.[emoji3][emoji3] watapungua kisa usahili,kwa hiyo walimu wanaogopa usahili?