Mwanjangle
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 294
- 331
😂😂😂Halafu huitwi, hapo written ulipata 2% 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Halafu huitwi, hapo written ulipata 2% 😂
Wakuu, kama nitakuwa sahihi bc nadhani sasa hv ajira zimetoka sana labla kutokana na uchaguzi, sasa wakuu ikifika 2025 miezi ya katikati hapo kama bado tutakuwa hatuna salary slip aisee turudi nyumban Kwa wazazi wetu wakatushike kichwa 😎
😁😁 zinaendelea kumwagwa huko ajira portal kazi kwetuWakuu, kama nitakuwa sahihi bc nadhani sasa hv ajira zimetoka sana labla kutokana na uchaguzi, sasa wakuu ikifika 2025 miezi ya katikati hapo kama bado tutakuwa hatuna salary slip aisee turudi nyumban Kwa wazazi wetu wakatushike kichwa 😎
Afya je?Vijana wa ualimu wajiandae kwa interview mikoani
Yah inawezekana hii...Ili ndo Swali hata mm najiuliza ?
Chanzo cha taarifa ?Kesho tar 20 pdf afya jiandaeni
Wajiandae kwa kazi au interview?Kesho tar 20 pdf afya jiandaeni
Anything can happenWajiandae kwa kazi au interview?
Interview Inatisha aiseeVijana hawataki interview 😀😀
Unawachokoza afya🤣Wajiandae kwa kazi au interview?
Na wewe unaogopa interview?Interview Inatisha aisee
Bado Haujasema kwa mawazo yako kisa kesho inatimia mwezi ndo unadhani watakuita kazini inaonekana mgeni kwa utumishiKesho tar 20 pdf afya jiandaeni
Ipo waziWatu wa Afya na walimu nao wanaingizwa kwenye mambo ya interview?
Kazi ipo
Mwendo wa kuchoma nauli