Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fueni mabegi, hamna usahili afyaMbona afya haijatajwa
Itakuwa vemaFueni mabegi, hamna usahili afya
BoraFueni mabegi, hamna usahili afya
Wa afya nao wameitwa kwenye usaili? 😂Mlioomba ajira za bunge ,tayari wameita interview pitieni account zenu kwa ajili ya usahili wale wa afya na kada zingine😅😅
Acha kuzingua mkaliMlioomba ajira za bunge ,tayari wameita interview pitieni account zenu kwa ajili ya usahili wale wa afya na kada zingine[emoji28][emoji28]
NdioWa afya nao wameitwa kwenye usaili? 😂
Kama uliomba kaangalie status ya Account yako,ni ukweli huoAcha kuzingua mkali
Acha uongo wakoKama uliomba kaangalie status ya Account yako,ni ukweli huo
Watu mmekalia ubishi tu, trh 19 mwezi wa 7 bunge wametoa ajira za kada mbalimbali afya walihitaji wafamasia na kada zingine kama madereva wameita watu usahili trh 24, kama muhusika pitia account yako sio kila kitu utafuniwe tu.Acha uongo wako
Acha uongo wako
Interview ya kwanza n trh 24, ya pili n trh 28 😂 🙌
Mtu unakaa siku zote unasubir kuitwa oral😃Interview ya kwanza n trh 24, ya pili n trh 28 😂 🙌
Halafu huitwi, hapo written ulipata 2% 😂Mtu unakaa siku zote unasubir kuitwa oral😃