TAMISEMI yafafanua kasoro za majina ya walimu walioitwa kwenye ajira 13,000 za Magufuli

Mbona kiambatanisho Cha matokeo hakioneshi mwaka wa kumaliza shule acha kudokoa namba na kuja kuzuga hapa.
Tutaaminije Kama Zilpa alimaliza 2010.​
 

rais anajinasibu suala la vyeti feki kalidhibiti, ila kwa makosa haya ya TAMISEMI ni big NOOOO
Unaondoa wafanyakazi kazi feki then unawarudisha wafanyakazi feki.

Workdone=0
Inasikitisha sana. Pamoja na jitihada za Rais za kuondoa watumishi hewa, wanaondokea mlango wa mbele na kuingilia mlango wa nyuma. Rais bado ana kazi sana ya kutumbua majipu
 
Mbona kiambatanisho Cha matokeo hakioneshi mwaka wa kumaliza shule acha kudokoa namba na kuja kuzuga hapa.
Tutaaminije Kama Zilpa alimaliza 2010.​
Ukisema nipige screenshot ikionyesha hadi mwaka maana yake jina la mlengwa ambaye ni ZILPA halitaonekana. Kwahiyo kama unataka kuhakikisha kama hizi shutuma ni za kweli au uongo ingia kwenye tovuti ya necta uangalie matokeo ya kidato cha nne 2010 ya mtahiniwa mwenye namba S0846-0089/2010. Ukimaliza kuangalia uje ufute huu utetezi wako wa kijinga.
 
Inasikitisha sana. Pamoja na jitihada za Rais za kuondoa watumishi hewa, wanaondokea mlango wa mbele na kuingilia mlango wa nyuma. Rais bado ana kazi sana ya kutumbua majipu
Zindukaaaaaaaaa
 
Mbona kiambatanisho Cha matokeo hakioneshi mwaka wa kumaliza shule acha kudokoa namba na kuja kuzuga hapa.
Tutaaminije Kama Zilpa alimaliza 2010.​
hata mimi nilikuwa najiuliza hilo swali ... huyu jamaa mwongo sana anaamnisha watu uongo namba ya juu inaonesha mwaka lkn namba ya chini haina mwaka...... uzushi wa kitoto sana huu ..
 
Mtamlaumu bure katibu mkuu tamisemi kifupi tu ni kuwa serikali haina hela za kuajiri walimu 13000 hivyo njia iliyotumika ni kuweka majina hewa ambayo ndio hayo mengi mnaona yana utata,mfano ni yule bwana aliyejirudia mara 195 hii ilikuwa ni mbinu mojawapo ya kupunguza idadi na walipoona raia wanapiga kelele katibu alijitokeza na kutoa utetezi dhaifu wa kiwango cha darasa la kwanza.KATIBU ANAKINGIWA KIFUA NA MTU ASIYEONEKANA la sivyo angekuwa hana kazi siku ya pili tu majina yalipotangazwa.Serikali imeajiri walimu halali wasiopungua 2000 hao wengine waliosalia ni changa la macho ndio maana mnaona madudu ni mengi!
 
hata mimi nilikuwa najiuliza hilo swali ... huyu jamaa mwongo sana anaamnisha watu uongo namba ya juu inaonesha mwaka lkn namba ya chini haina mwaka...... uzushi wa kitoto sana huu ..
Kumbe JF ina wajinga wengi kiasi hiki?

Ebu wewe nenda kwenye matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2010 upige screenshot ikimuonyesha ZILPA na mwaka wa kumaliza kule juu tuone kama utaweza.

Yaani badala ya kuangalia matokeo ili kujiridhisha kama ni uongo au ukweli unakuja hapa kutetea upumbavu. Pathetic
 
Hivi wahusika Bado hawajiuzulu nyadhifa zao hadi Sasa? Hawa ni wahujumu uchumi wasakwe na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria.
 
PhD 2
Eng 1
Mnasahihishwa na mitandao ya KIJAMII.kwanini msipitie mambo yenu kabla hamjarusha?
 
Hivi wahusika Bado hawajiuzulu nyadhifa zao hadi Sasa? Hawa ni wahujumu uchumi wasakwe na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria.
Bila Rais kuwatumbua sio rahisi wao kujiwajibisha kwa kujiuzulu nyadhifa zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…