Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 590
- 1,648
Kutokana na tukio lililosambaa mitandaoni ambapo Usalama wa Umma wa Xi'an uliripoti tukio la wanaume wa Kitanzania kuwanyanyasa wanawake, Ubalozi wa Tanzania nchini China umethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo umesema kuwa umeomba mamlaka kumlinda kijana huyo na uchunguzi kufanyika kupata ukweli wa tukio hilo SOMA: Mtanzania ashambuliwa na mwanamke wa Kichina, yasemekana kwa kosa la kudhalilisha wanawake.
Zaidi ya hayo, Ubalozi umeeleza kuendelea kufanya mawasiliano na Mamlaka Mjini Xian ili kuhakikisha haki inatendeka na kuutaka umma kuwa na subira wakati tukio hilo likifanyiwa kazi.
Picha: Sehemu ya Tweet iliyotolewa na Ubalozi wa Tanzania nchini China
Picha: Tamko la Ubalozi wa Tanzania nchini China
Zaidi ya hayo, Ubalozi umeeleza kuendelea kufanya mawasiliano na Mamlaka Mjini Xian ili kuhakikisha haki inatendeka na kuutaka umma kuwa na subira wakati tukio hilo likifanyiwa kazi.
Picha: Sehemu ya Tweet iliyotolewa na Ubalozi wa Tanzania nchini China
Picha: Tamko la Ubalozi wa Tanzania nchini China