matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,224
- 3,951
Teh teh teh!
Hawa wanaonekana washakatiwa kidogo dogo!
Mbona wamekuwa wapole ghafla??
Halafu Agano la kale sikuzote hawataki kulitumia! Iweje lea kwenye hii issue watuletaa mambo ya walawi hapa!??
Hebu ngoja tuwaulize hawa waparoko wengine! Huenda wakawa na habari nyeti!
Cc matumbo mgen Nyenyere Cureone 2013 Eiyer Remote
minshalil wasiwasi lhanas.
Last edited by a moderator: