Mtukudzi
Senior Member
- Nov 14, 2013
- 103
- 408
Ni kweli kuwa CCM ni chama kikongwe Afrika. Kitendo cha vijana wadogo akina Malema na wenzake akina Mbuyiseni Ndlozi kwa kushirikiana na wenzao akina Mnyika na Zitto kutaka kupambana na vyama vikongwe ni utovu wa nidhamu.
Angalia tamko lao kuhusu uchaguzi wa Tanzania lilivyojaa kibri.
Angalia tamko lao kuhusu uchaguzi wa Tanzania lilivyojaa kibri.